• MMM |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
Itilima District Council
Itilima District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Itilima

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Sisi ni nani?
    • Dira na Dhamira
    • Taarifa ya Halmashauri
  • Utawala
    • Idara
      • Rasilimali watu
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mipango
      • Afya
      • Mifugo
      • Kilimo
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Ardhi na Maliasili
      • Maji
      • Fedha na Biashara
      • Usafi na Mazingira
      • Ujenzi
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
      • Ugavi
      • Sheria
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
    • Muundo
  • Huduma Zetu
    • Vibali vya Ujenzi
    • Leseni za Biashara
    • Umilikaji wa Ardhi
  • Machapisho
    • Sheria
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu
    • Sheria Ndogo
  • Kituo cha Habari
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba Video
    • Habari
    • Matukio
  • Miradi
    • Miradi inayofadhiliwa na Wahisani
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea na Ujenzi
    • Maandiko ya Miradi
  • Zabuni
  • Uwekezaji
  • FFARS LINK

Vibali vya Ujenzi

UTARATIBU UNAOTUMIKA KUTOA VIBALI VYA UJENZI WA MAJENGO :-

1. KIBALI CHA UJENZI

Kulingana na Sheria ya Serikali za Mitaa Na. 8 ya mwaka 1982.

 

Sheria ya Mipango Miji na Majengo Mijini si ruhusa kwa mtu yeyote kujenga au kuanza kujenga jengo bila:-

i.Kutuma maombi kwa mamlaka ya Mji kwa kupata ridhaa ya awali (Planning Consent)

ii. Majengo makubwa kuwe na ramani (Outline scheme designs)

iii.Kuwasilisha michoro ya jengo na kumbukumbu husika za kiwanja.

iv.Kupata kibali kwa maandishi kinachoitwa “Kibali cha Ujenzi”.

 

2. KIBALI CHA AWALI (Planning Consent);

Inashauriwa kupata kibali cha awali kabla ya kuomba kibali cha ujenzi. Hivyo muendelezaji anatakiwa aandae mchoro wa awali (Outline plan) kwa utaratibu unaotakiwa ukionyesha aina ya ujenzi atakaokusudia kufanya ili aweze kupata ridhaa ya kuendelea na hatua za kuandaa michoro ya mwisho.

FAIDA:

Kuokoa muda na gharama, iwapo michoro ya mwisho itaonekana kuwa na dosari za kitaalam ambazo zitahitaji kufanyiwa marekebisho.

Kuwa na uhakika kuhusu mahitaji muhimu ya kuzingatiwa wakati michoro inaandaliwa.

3. JINSI YA KUWASILISHA MAOMBI YA KIBALI CHA UJENZI

Baada ya michoro kukamilika, iwasilishwe ikiwa kwenye majadala kwa namna ambayo inaweza kufunguliwa na kusomeka. Michoro hiyo iwasilishwe kama ifuatavyo:-

Seti tatu za michoro ya jengo (Architectural drawings)

Seti mbili za michoro ya vyuma) structural drawings) kwa majengo ya ghorofa.

4. MICHORO ILIYOANDALIWA IONYESHE NINI

Michoro itakayoandaliwa inatakiwa ionyeshe mambo yafuatayo:-

Jengo litakavyokuwa (Plan) Sections, elevations, Foundation and roof Plan).

Namba ya eneo la kiwanja kilipo,Jina la Kampuni na anwani ya Kampuni iliosanifu jengo husika.

Ukubwa wa jengo kwa mita za mraba

 

 2

Ujazo wa kiwanja (Plot coverage)

Uwiano(Plot ratio)

Urefu wa jengo (height)

Matumizi yanayokusudiwa Idadi ya maegesho yatakayokuwepo

Umbali wa jengo kutoka kwenye mipaka ya kiwanja (setbacks) na

Mfumo wa kutoa maji taka hadi kwenye mashimo. Barabara inayopitia mbele ya kiwanja na mshale unaoonyesha Kaskazini.

5. VIAMBATANISHO

Fomu moja ya maombi iliyojazwa kwa usahihi.

Hati ya kumiliki kiwanja au barua ya toleo au leseni ya Makazi

Kumbukumbu nyingine zinazohusu kiwanja hicho kama hati za mauzo, makabidhiano n.k.

Nakala za risiti ya kodi ya kiwanja na kodi ya majengo

Mabadiliko ya matumizi ya ardhi.

6. HATUA ZINAZOFUATWA KATIKA KUSHUGHULIKIA MAOMBI YA KIBALI

Zifuatazo ni hatua zinazofuatwa wakati wa kuchunguza michoro hiyo:-

Kuwasilisha michoro na kulipa gharama za uchunguzi(scrutiny fee).

Uhakiki wa miliki

Kukaguliwa usanifu wa michoro

Kukaguliwa kiwanja kinachokusudiwa kuendelezwa

Uchunguzi wa upimaji kiwanja

Uchunguzi wa matumizi ya jengo na uwiano

Uchunguzi wa Maafisa Afya

Uchunguzi wa Mipango ya uondoaji majitaka

Uchunguzi wa tahadhali za moto

Uchunguzi wa athari za mazingira (EIA)

Uchunguzi wa uimara wa jengo (Structural Drawings)

Kuandaliwa kwa maombi yaliokamilisha taratibu hizi na kupelekwa kwenye Kamati ya Ujenzi ambayo wajumbe wake ni Madiwani

Hatimaye kuandika na kutoa kibali

7. FAIDA ZA KUJENGA NYUMBA IKIWA NA KIBALI CHA UJENZI

Kuishi kwenye nyumba ambayo imethibitishwa kitaalamu kuwa ni salama

Kuwa na mazingira bora kwa kuwa na mji ulipangwa

 

Kuepuka hasara na usumbufu unaoweza kutokea iwapo ujenzi umefanyika bila kibali kiwa ni pamoja na kushitakiwa mahakakani, kuvunjiwa na kulipa gharama za uvunjaji.

Matangazo

  • MATOKEO YA MTIHANI WA DARASA LA SABA WILAYANI ITILIMA October 30, 2021
  • Tangazo Kwa Watumishi Wapya Wanao endelea kuwasili Wilayani Itilima July 03, 2022
  • "Tutaukaribisha Mwenge wa Uhuru Wilayani Itilima tarehe 9/7/2022 tutaupokea katika Viwanja vya Ushirika, Nyamalapa na mkesha utakuwa katika viwanja vya Halmashuri ya Wilaya ya Itilima Wananchi wote, Wafanyakazi tuungane katika makaribis July 07, 2022
  • "Tutaukaribisha Mwenge wa Uhuru Wilayani Itilima tarehe 9/7/2022 tutaupokea katika Viwanja vya Ushirika, Nyamalapa na mkesha utakuwa katika viwanja vya Halmashuri ya Wilaya ya Itilima Wananchi wote, tuungane katika kuukaribisha Mwenge July 06, 2022
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • SERIKALI YAITENGEA ITILIMA BILIONI 2.37 KUTEGENEZA KM. 238.88 ZA BARABARA NA KM.1 YA LAMI MAKAO MAKUU YA WILAYA

    February 18, 2023
  • NAIBU WAZIRI OR - TAMISEMI ARIDHISHWA UTEKELEZAJI MIRADI YA AFYA ITILIMA

    January 17, 2023
  • MAJINA YA WANAFUNZI WALIO CHAGULIWA KUJIUNGA KIDATO CHA KWANZA ITILIMA

    December 14, 2022
  • ITILIMA YAWEKEWA MALENGO KUZALISHA TANI 130,000 ZA PAMBA MSIMU HUU WA KILIMO

    November 28, 2022
  • Angalia Zote

Video

BARAZA LA MADIWANI LA MADIWANI LA WILAYAYA ITILIMA LAUFUNGA MWAKA WA FEDHA WA 2020 - 2021
Video Zaidi

Kurasa za Karibu

  • Business License
  • Procedure for Provision of Buliding Permit
  • Land Ownership

Tovuti Mashuhuri

  • Simiyu Regional Commissioner's Office
  • President's Official Website
  • Local Government Revenue Collections Dashboard
  • Tovuti ya TAMISEMI
  • Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma
  • Salary Slip Self Service
  • FFARS LINK
  • Mfumo wa Vibali vya Kusafiri Nje ya Nchi

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Wasiliana Nasi

    DED - ITILIMA

    Sanduku la Posta: 308 BARIADI

    Simu: +255 28 29 863 29

    Simu: 028 29 863 28

    Barua Pepe: info@itilimadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

Hatimiliki ©2016 Kitengo cha TEHAMA. Haki Zote Zimehifadhiwa