• MMM |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
Itilima District Council
Itilima District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Itilima

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Sisi ni nani?
    • Dira na Dhamira
    • Taarifa ya Halmashauri
  • Utawala
    • Idara
      • Rasilimali watu
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mipango
      • Afya
      • Mifugo
      • Kilimo
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Ardhi na Maliasili
      • Maji
      • Fedha na Biashara
      • Usafi na Mazingira
      • Ujenzi
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
      • Ugavi
      • Sheria
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
    • Muundo
  • Huduma Zetu
    • Vibali vya Ujenzi
    • Leseni za Biashara
    • Umilikaji wa Ardhi
  • Machapisho
    • Sheria
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu
    • Sheria Ndogo
  • Kituo cha Habari
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba Video
    • Habari
    • Matukio
  • Miradi
    • Miradi inayofadhiliwa na Wahisani
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea na Ujenzi
    • Maandiko ya Miradi
  • Zabuni
  • Uwekezaji
  • FFARS LINK

Maendeleo ya Jamii

IDARA YA MAENDELEO YA JAMII

Idara ya Maendeleo ya Jamii ni Idara muhimu iliyopo ndani ya Halmashauri ya Itilima. Ndani ya idara hii kuna vitengo mbalimbali vinavyofanya kazi.

Vitengo hivyo ni :-

  • Kitengo cha Ustawi wa Jamii
  • Kitengo cha kudhibiti UKIMWI
  • Kitengo cha Jinsia
  • Kitengo cha vijana
  • Kitengo cha kuratibu Asasi Zisizo za Kiserikali
  • Kitengo cha CHF


KITENGO CHA USTAWI WA JAMII

Kitengo cha Ustawi wa Jamii ni kitengo kinachofanya kazi za kuhudumia jamii kupitia programu mbalimbali za kijamii. Programu zilizopo chini ya Kitengo cha Ustawi wa Jamii ni

  • Programu za huduma kwa jamii
  • Kuzishauri idara mbalimbali katika utekelezaji wa majukumu yao ambayo yanailenga jamii mojakwa moja, ikiwemo elimu,afya, kilimo,miundombinu na maendeleo yanayomgusa mwananchi.
  • Utatuzi wa migogoro na matatizo ya kifamilia
  • Jamii inayostawi ni ile ambayo inaishi kwa amani na maelewano.  Kitengo hiki kipo kwa ajili ya kuunganisha familia . Kitengo hiki hufanya kazi kwa kuzingatia sheria za nchi. Migogoro inayozingatiwa hapa ni :-
  • Migogoro ya ndoa, ambapo kazi ya Kitengo ni kupatanisha wanandoa kasha warudi kuishi kwa amani
  • Migogoro kati ya wazazi na watoto wao. Kuna baadhi ya familia ambazo hukosa maelewano kati ya wazazi na watoto wao. Hivyo kitengo hufanya kazi ya kuwapatanisha wazazi hawa na watoto wao.

ANGALIZO:Kitengo hakina mamlaka kisheria kuvunja ndoa za watu,hivyo suluhu inaposhindwa kupatikana, Ofisi hupeleka shauri mahakamani ambapo kwa ajili ya ufumbuzi zaidi.

  • Programu ya Ulinzi na Usalama wa mtoto
  • Ulinzi na Usalama wa mtoto ni muhimu sana katika kujenga taifa lililo bora. Programu ya Ulinzi na Usalama wa mtoto katika Halmashauri ya Wilaya Nanyumbu inatekelezwa ikiwa chini ya Kamati ya Ulinzi na Usalam wa Mtoto. Ulinzi na usalama wa mtoto unafanyika kwa kuzingatia sheria ya mtoto ya mwaka 2009. Ulinzi na usalama wa mtoto ni muhimu ili;-
  • Kuzuia na kukomesha matendo ya unyanyasaji wa watoto .
  • Kotokomeza ukiukwaji wa haki za watoto kulingana na sheria ya mtoto ya mwaka 2009.
  • Kutoa elimu kwa jamii ya ulinzi na usalama wa mtoto
  • KITENGO CHA KUDHIBITI UKIMWI 

Kitengo cha kudhibiti UKIMWI ni kitengo kinachofanya kazi kwa kushirikiana na TACAIDS. Kazi kuu za kitengo hiki ni:-

  • Kutoa elimu kwa jamii kuhusu UKIMWI na athari zake.
  • Kutoa elimu juu ya kuepuka maambuzi ya UKIMWI ikiwepo kugawa kondomu pale inapobidi.
  • Kutoa msaada kwa waathirika wa UKIMWI/VVU kupitia vikundi vyao vilivyosajiliwa kwa kuwapatia ruzuku ili waweze kuendesha shughuli zao za kiuchumi.
  • Kutoa ushauri kwa waathirika ili wasikate tama ya maisha.
  • KITENGO CHA JINSIA

Kitengo hiki kipo ili kusaidia wanawake kuweza kujikwamua kiuchumi. Vikundi vya wanawake vilivyosajiliwa huweza kupatiwa mkopo. Ambapo kuna mkopo ambao hutoka moja kwa moja Wizarani kupitia Halmashauri na fedha zinazotengwa na halmashauri katika mapato yake ya ndani  ambapo wanawake ambao vikundi vyao vinakidhi vigezo ndio huweza kupewa mikopo.

  •  
  • KITENGO CHA VIJANA

Kuwaunganisha vijana ili waweze kuendesha shughuli zao za kiuchumi kupitia njia ya mikopo. Mikopo hii hitolewa na Halmashauri ,hivyo mara pale fungu linapokuwa tayari vijana ambao vikundi vyao vimesajiliwa huweza kupatiwa mikopo ili waweze kujikwamua kiuchumi.

  • KITENGO CHA KURATIBU ASAZI ZISIZO ZA KISERIKALI
  • Kitengo hiki kinahusika katika kuratibu shughuli za maendeleo zinazofanywa na mashirika yasiyo ya ki-serikali.

 

  • KITENGO CHA CHF
  • Kitengo hiki hufanya kazi kwa kushirikiana na menejiment ktika kusimamia na kuratibu shughuri zote za Mfuko wa Afya ya jamii ikiwemo kuhamashisha wananchi kujiunga,kupata dawa na kupewa tiba kwa jamii ambayo inahusika.

Matangazo

  • MATOKEO YA MTIHANI WA DARASA LA SABA WILAYANI ITILIMA October 30, 2021
  • Tangazo Kwa Watumishi Wapya Wanao endelea kuwasili Wilayani Itilima July 03, 2022
  • "Tutaukaribisha Mwenge wa Uhuru Wilayani Itilima tarehe 9/7/2022 tutaupokea katika Viwanja vya Ushirika, Nyamalapa na mkesha utakuwa katika viwanja vya Halmashuri ya Wilaya ya Itilima Wananchi wote, Wafanyakazi tuungane katika makaribis July 07, 2022
  • "Tutaukaribisha Mwenge wa Uhuru Wilayani Itilima tarehe 9/7/2022 tutaupokea katika Viwanja vya Ushirika, Nyamalapa na mkesha utakuwa katika viwanja vya Halmashuri ya Wilaya ya Itilima Wananchi wote, tuungane katika kuukaribisha Mwenge July 06, 2022
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • TUME YA TAIFA YA MPANGO WA MATUMIZI YA ARDHI YAPIMA NA KUKABIZI HATI ZA VIJIJI 25 VILIVYOPO KANDO YA POLI LA AKIBA LA MASWA

    June 30, 2024
  • BARAZA LA ARDHI ITILIMA SASA RASMI BAADA YA KUAPISHWA KWA WAJUMBE WA BARAZA

    June 26, 2024
  • KUNA MAISHA BAADA YA UTUMISHI WA UMMA

    June 20, 2024
  • MWALIMU TIMIZA WAJIBU WAKO WA MSINGI KWA AJILI YA NCHI YAKO, WAZAZI WA TANZANIA NA WATOTO KUZIFIKIA NDOTO ZAO

    June 20, 2024
  • Angalia Zote

Video

BARAZA LA MADIWANI LA MADIWANI LA WILAYAYA ITILIMA LAUFUNGA MWAKA WA FEDHA WA 2020 - 2021
Video Zaidi

Kurasa za Karibu

  • Business License
  • Procedure for Provision of Buliding Permit
  • https://www.nbs.go.tz/index.php/en/census-surveys/population-and-housing-census/802-sensa-ya-watu-na-makazi-ya-mwaka-2022
  • Land Ownership

Tovuti Mashuhuri

  • Simiyu Regional Commissioner's Office
  • President's Official Website
  • Local Government Revenue Collections Dashboard
  • Tovuti ya TAMISEMI
  • Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma
  • Salary Slip Self Service
  • FFARS LINK
  • Mfumo wa Vibali vya Kusafiri Nje ya Nchi

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Wasiliana Nasi

    DED - ITILIMA

    Sanduku la Posta: 308 BARIADI

    Simu: +255 28 29 863 29

    Simu: 028 29 863 28

    Barua Pepe: info@itilimadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

Hatimiliki ©2016 Kitengo cha TEHAMA. Haki Zote Zimehifadhiwa