• MMM |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
Itilima District Council
Itilima District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Itilima

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Sisi ni nani?
    • Dira na Dhamira
    • Taarifa ya Halmashauri
  • Utawala
    • Idara
      • Rasilimali watu
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mipango
      • Afya
      • Mifugo
      • Kilimo
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Ardhi na Maliasili
      • Maji
      • Fedha na Biashara
      • Usafi na Mazingira
      • Ujenzi
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
      • Ugavi
      • Sheria
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
    • Muundo
  • Huduma Zetu
    • Vibali vya Ujenzi
    • Leseni za Biashara
    • Umilikaji wa Ardhi
  • Machapisho
    • Sheria
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu
    • Sheria Ndogo
  • Kituo cha Habari
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba Video
    • Habari
    • Matukio
  • Miradi
    • Miradi inayofadhiliwa na Wahisani
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea na Ujenzi
    • Maandiko ya Miradi
  • Zabuni
  • Uwekezaji
  • FFARS LINK

TUME YA TAIFA YA MPANGO WA MATUMIZI YA ARDHI YAPIMA NA KUKABIZI HATI ZA VIJIJI 25 VILIVYOPO KANDO YA POLI LA AKIBA LA MASWA

Posted on: June 30th, 2024

Mkuu wa Mkoa wa Simiyu Mhe. Kenani Kihongosi Leo  amekabidhi HATI za Vijiji 25 za Wilaya ya Tatu za Mkoa wa Simiyu baadha Kukamilika kwa Mradi wa UPIMAJI Ardhi katika Vijiji 25 vilivyopo kando ya Hifadhi ya Poli la Akiba la Maswa.

Zoezi Hilo lililo ratibiwa na na Serikali kupitia Mamlaka ya Upangaji wa Ardhi Kwa kushirikia na Mamlaka za Serikali za Mitaa za Halmashauri Tatu kwa ufadhili wa Shirika La Frankfurt Zoology  Society la Ujerumani.

Akiwasilisha Taarifa ya Utekelezaji wa Mradi kwa niaba ya Mkurugenzi Tume ya Taifa ya mipango ya matumizi  ya Ardhi Ndg. Jonas Masingija.

"Tume ya Taifa ya mipango ya Matumizi  ya Ardhi kwa kushirikiana na  Mamlaka za Up, hifadhi ya Taifa ya Serengeti na Shirika La Frankfurt Zoological  Society kwa pamoja kwa kushirikiana naamlaka za Upangaji za Wilaya ya Meatu, Itilima na Busega tuliweza kutekeleza Mradi wa dharula wa wa Uhifadhi wa Bayonuai.

Lengo kuu la Mradi ni kuleta hauweni kwenye madhhara ya Uviko -19"

Mradi huu umetekelezwa katika Vijiji 25 vya Halmashauri Tatu kwa upande wa Halmashauri ya Wilaya ya Itilima Mradi umepima Vijiji 9, Meatu 12 na Busega Vijiji 4.

Utekelezaji wa Mradi huu kwanza ulihusisha utatuzi wa Migogoro ya Mipaka, uhuishaji na Upimaji wa Mipaka ya Vijiji, utoaji wa Mafunzo na Elimu kwa Umma na uandaaji wa matumizi ya Ardhi katika Vijiji vya Mradi.

Awamu ya pili ya utekelezaji wa Mradi ulihusisha uandaaji wa vyeti vya Vijiji uhakiki vipnde vya Ardhi Kwa mawanchi Mmoja Mmoja, uandaaji wa Mpango kina na utaarishaji wa HATI miliki za kimila kwa Wananchi ambao maeneo Yao yalikuwa yametambuliwa

Aidha Ndg. Jonas Masingija alisema kuwa Mradi huu ni sehemu ya utekelezaji wa Ilani ya CCM ya 2020/2025 ambayo imeelezewa katika ibara ya 69 ambayo inaeleza kuwajengea uwezo Mamlaka za hifadhi katika kutatua migogoro baina ya Wananchi na Maeneo yaliyo hifadhiwa.


 Katika makabiziano hayo ya hati Mkuu wa Mkoa wa Simiyu Mhe. Kenani Kihongosi alisema

"Niwapongeze sana Mamlaka husika na kipekee Mtakuwa mme wawezesha Wananchi kumiliki Ardhi Kisheria na hata kuwasaidia kukopesheka katika Taasisi  za Fedha.

Kwa niaba ya Wananchi wa Jimbo la Itilima, Mhe. Njalu D. Silanga (Mb) aliishukuru Mamlaka zilizo tekeleza Mradi huu na hatimaye Upimaji wa Vijiji 26 vya Wilaya ya Meatu, Busega na Itilima Kukamilika ni faraja ya kipekee na ni ahadi ya Ilani ya Chama chetu tuliyo waahidi Wananchi wetu ili kutanzua migogoro iliyo kuwepo baina ya Wananchi na Mamlaka za Uhifadhi.


Aidha Mkuu wa Wilaya  ya Itilima Mhe. Anna Gidarya alitoa Rai kwa Viongozi wa Serikali za Vijiji kuwa kwa Upimaji huu kusiwepo na Changamoto ya uchukiaji wa maeneo kiholela kwa tumeshatoka huko Vijiji vimepimwa na vina HATI na  Wananchi wana HATI za Maeneo Yao.

Aidha Mhe. Gidarya  alimuomba mhe. Kihongosi kuwasilisha Shukrani za Wanaitilima kwa Mhe. RAIS Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kufanikisha Mradi huu wa Kipekee kwa Wananchi wa Wilaya hizi tatu na wenye Gharama Kubwa.



Matangazo

  • MATOKEO YA MTIHANI WA DARASA LA SABA WILAYANI ITILIMA October 30, 2021
  • Tangazo Kwa Watumishi Wapya Wanao endelea kuwasili Wilayani Itilima July 03, 2022
  • "Tutaukaribisha Mwenge wa Uhuru Wilayani Itilima tarehe 9/7/2022 tutaupokea katika Viwanja vya Ushirika, Nyamalapa na mkesha utakuwa katika viwanja vya Halmashuri ya Wilaya ya Itilima Wananchi wote, Wafanyakazi tuungane katika makaribis July 07, 2022
  • "Tutaukaribisha Mwenge wa Uhuru Wilayani Itilima tarehe 9/7/2022 tutaupokea katika Viwanja vya Ushirika, Nyamalapa na mkesha utakuwa katika viwanja vya Halmashuri ya Wilaya ya Itilima Wananchi wote, tuungane katika kuukaribisha Mwenge July 06, 2022
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • TUME YA TAIFA YA MPANGO WA MATUMIZI YA ARDHI YAPIMA NA KUKABIZI HATI ZA VIJIJI 25 VILIVYOPO KANDO YA POLI LA AKIBA LA MASWA

    June 30, 2024
  • BARAZA LA ARDHI ITILIMA SASA RASMI BAADA YA KUAPISHWA KWA WAJUMBE WA BARAZA

    June 26, 2024
  • KUNA MAISHA BAADA YA UTUMISHI WA UMMA

    June 20, 2024
  • MWALIMU TIMIZA WAJIBU WAKO WA MSINGI KWA AJILI YA NCHI YAKO, WAZAZI WA TANZANIA NA WATOTO KUZIFIKIA NDOTO ZAO

    June 20, 2024
  • Angalia Zote

Video

BARAZA LA MADIWANI LA MADIWANI LA WILAYAYA ITILIMA LAUFUNGA MWAKA WA FEDHA WA 2020 - 2021
Video Zaidi

Kurasa za Karibu

  • Business License
  • Procedure for Provision of Buliding Permit
  • https://www.nbs.go.tz/index.php/en/census-surveys/population-and-housing-census/802-sensa-ya-watu-na-makazi-ya-mwaka-2022
  • Land Ownership

Tovuti Mashuhuri

  • Simiyu Regional Commissioner's Office
  • President's Official Website
  • Local Government Revenue Collections Dashboard
  • Tovuti ya TAMISEMI
  • Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma
  • Salary Slip Self Service
  • FFARS LINK
  • Mfumo wa Vibali vya Kusafiri Nje ya Nchi

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Wasiliana Nasi

    DED - ITILIMA

    Sanduku la Posta: 308 BARIADI

    Simu: +255 28 29 863 29

    Simu: 028 29 863 28

    Barua Pepe: info@itilimadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

Hatimiliki ©2016 Kitengo cha TEHAMA. Haki Zote Zimehifadhiwa