• MMM |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
Itilima District Council
Itilima District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Itilima

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Sisi ni nani?
    • Dira na Dhamira
    • Taarifa ya Halmashauri
  • Utawala
    • Idara
      • Rasilimali watu
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mipango
      • Afya
      • Mifugo
      • Kilimo
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Ardhi na Maliasili
      • Maji
      • Fedha na Biashara
      • Usafi na Mazingira
      • Ujenzi
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
      • Ugavi
      • Sheria
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
    • Muundo
  • Huduma Zetu
    • Vibali vya Ujenzi
    • Leseni za Biashara
    • Umilikaji wa Ardhi
  • Machapisho
    • Sheria
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu
    • Sheria Ndogo
  • Kituo cha Habari
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba Video
    • Habari
    • Matukio
  • Miradi
    • Miradi inayofadhiliwa na Wahisani
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea na Ujenzi
    • Maandiko ya Miradi
  • Zabuni
  • Uwekezaji
  • FFARS LINK

KUNA MAISHA BAADA YA UTUMISHI WA UMMA

Posted on: June 20th, 2024

Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Itilima Bi. Faraja P. Msigwa 


Mkurugenzi wa Halmashauri ya Itilima Bi. Faraja P. Msigwa Awataka Watumishi kukubariana na mabadiriko yanayo tokea katika UTUMISHI wa umma.

Aliongea na Walimu wa Itilima katika ziara ya Kaimu Mkurugenzi wa Elimu Tamisemi, Bi. Faraja alisema.

"Kwa Sasa katika UTUMISHI wa Umma tuna  Mfumo wa Upimaji wa Utendaji Kazi kwa Watumishi  na Taasisi za Umma

(Pepmis na Pipmis) tuhakikishe tunajaza taarifa zote muhimu zinazo takiwa Kila Siku, ni jambo Muhimu sana kwa Serikali na kwa Mtumishi husika"

Kupitia Mfumo huu Serikali itabaini uwajibikaji na uhitaji wa rasilimali watu na kwa Mtumishi kuainisha majukumu ya utekelezaji  ya Kila suku na kutoa fursa ya kupanda ngazi Mbalimbali za kiutumishi.

Aidha Bi. Msigwa akiwasilisha Shukrani za Mhe. Rais. Dkt. Samia Suluhu Hassan Kwa kushusha Fedha kwa Kiasi kikubwa katika Wilaya ya Itilima na kupelekea Mabadiriko makubwa  katika Miundombinu ya Elimu kwa kipindi cha kifupi sana Cha Uongozi wake na kupelekea kuwa na Shule mpya nyingi za Msingi na Sekondari.

Vilevile Bi. Faraja alitumia fursa hiyo kuwakumbusha Watumishi wote wa Umma wa Itilima kuwa kuna Maisha baada ya UTUMISHI wa Umma kumalizika hivyo ni Muhimu kwa Mtumishi kuwa na Maandalizi Sasa kwa kujiwekea Hakiba au hata kuwekeza katika hisa kama za UTT, na kutumia muda VIZURI baada ya Muda wa Muajiri kujiimalisha kiuchumi

"JAMANI naongea haya naona baadhi ya Watumishi wenzetu waliomaliza muda wao  jinsi wanavyo kabiliwa kabiliwa na ugumu wa Maisha, Kuna Maisha baada ya UTUMISHI wa UMMA tujipange"

Matangazo

  • MATOKEO YA MTIHANI WA DARASA LA SABA WILAYANI ITILIMA October 30, 2021
  • Tangazo Kwa Watumishi Wapya Wanao endelea kuwasili Wilayani Itilima July 03, 2022
  • "Tutaukaribisha Mwenge wa Uhuru Wilayani Itilima tarehe 9/7/2022 tutaupokea katika Viwanja vya Ushirika, Nyamalapa na mkesha utakuwa katika viwanja vya Halmashuri ya Wilaya ya Itilima Wananchi wote, Wafanyakazi tuungane katika makaribis July 07, 2022
  • "Tutaukaribisha Mwenge wa Uhuru Wilayani Itilima tarehe 9/7/2022 tutaupokea katika Viwanja vya Ushirika, Nyamalapa na mkesha utakuwa katika viwanja vya Halmashuri ya Wilaya ya Itilima Wananchi wote, tuungane katika kuukaribisha Mwenge July 06, 2022
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • TUME YA TAIFA YA MPANGO WA MATUMIZI YA ARDHI YAPIMA NA KUKABIZI HATI ZA VIJIJI 25 VILIVYOPO KANDO YA POLI LA AKIBA LA MASWA

    June 30, 2024
  • BARAZA LA ARDHI ITILIMA SASA RASMI BAADA YA KUAPISHWA KWA WAJUMBE WA BARAZA

    June 26, 2024
  • KUNA MAISHA BAADA YA UTUMISHI WA UMMA

    June 20, 2024
  • MWALIMU TIMIZA WAJIBU WAKO WA MSINGI KWA AJILI YA NCHI YAKO, WAZAZI WA TANZANIA NA WATOTO KUZIFIKIA NDOTO ZAO

    June 20, 2024
  • Angalia Zote

Video

BARAZA LA MADIWANI LA MADIWANI LA WILAYAYA ITILIMA LAUFUNGA MWAKA WA FEDHA WA 2020 - 2021
Video Zaidi

Kurasa za Karibu

  • Business License
  • Procedure for Provision of Buliding Permit
  • https://www.nbs.go.tz/index.php/en/census-surveys/population-and-housing-census/802-sensa-ya-watu-na-makazi-ya-mwaka-2022
  • Land Ownership

Tovuti Mashuhuri

  • Simiyu Regional Commissioner's Office
  • President's Official Website
  • Local Government Revenue Collections Dashboard
  • Tovuti ya TAMISEMI
  • Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma
  • Salary Slip Self Service
  • FFARS LINK
  • Mfumo wa Vibali vya Kusafiri Nje ya Nchi

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Wasiliana Nasi

    DED - ITILIMA

    Sanduku la Posta: 308 BARIADI

    Simu: +255 28 29 863 29

    Simu: 028 29 863 28

    Barua Pepe: info@itilimadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

Hatimiliki ©2016 Kitengo cha TEHAMA. Haki Zote Zimehifadhiwa