• MMM |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
Itilima District Council
Itilima District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Itilima

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Sisi ni nani?
    • Dira na Dhamira
    • Taarifa ya Halmashauri
  • Utawala
    • Idara
      • Rasilimali watu
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mipango
      • Afya
      • Mifugo
      • Kilimo
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Ardhi na Maliasili
      • Maji
      • Fedha na Biashara
      • Usafi na Mazingira
      • Ujenzi
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
      • Ugavi
      • Sheria
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
    • Muundo
  • Huduma Zetu
    • Vibali vya Ujenzi
    • Leseni za Biashara
    • Umilikaji wa Ardhi
  • Machapisho
    • Sheria
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu
    • Sheria Ndogo
  • Kituo cha Habari
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba Video
    • Habari
    • Matukio
  • Miradi
    • Miradi inayofadhiliwa na Wahisani
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea na Ujenzi
    • Maandiko ya Miradi
  • Zabuni
  • Uwekezaji
  • FFARS LINK

WAZIRI KAIRUKI AWAAHIDI ITILIMA MÀABARA , NYUMBA ZA WALIMU

Posted on: November 27th, 2022

Na. Haruna Taratibu


Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mhe. Angellah Kairuki Aahidi ujenzi wa Maabara na Nyumba mbili za Walimu wilayani Itilima.

Akiwa katika ziara ya Ukaguzi wa Miradi ya Elimu Wilayani Itilima  Mhe. Kairuki alisema"Tamisemi  itaendelea kuboresha Miundombinu ya Elimu ikiwemo ujenzi wa Maabara katika Shule za Sekondiari na katika kipindi hiki watajenga Nyumba mbili za Walimu"

Aidha akijibu Ombi la Diwani wa Kata ya Bumera Mhe. Mboje Mhuli la Kuomba kujengewa Maabara na Bweni Mhe. Kairuki alisema ya Kwamba suala la Maabara Serikali italifanyia kazi ombi Hilo kuhusiana na Bweni alishauli uwepo uhamasishaji wa wananchi kujenga Hosteli iliwa wanafunzi wanao Kaa mbali na shule waezekupata huduma ya kuishi karibu na Shule.

 Mhe. Kairuki alikagua mradi wa chumba kimoja cha darasa katika shule ya Sekondari ya Madilana, vyumba vitano vya  katika shule ya Sekondari ya Kanadi, vyumba viwili vya Madarasa katika shule ya Sekondari Ikindilo na vyumba viwili vya madarasa  katika shule ya Sekondari Habiya.

Katika ziara hiyo Mhe. Mhe. Kairuki aliridhishwa na utekelezaji wa miradi unavyo endelea Wilayani Itilima na kiwataka wahandisi wa Itilima kufuata maelekezo yote yaliyo tolewa na Mhandisi wa Mkoa Mhandisi Mashaka Luhamba aliye shauri uongezaji wa vyuma katika Madirisha Kwa ajili ya usalama wa Mali zilizopo ndani ya darasa.

 Utekelezaji mradi wa ujenzi wa vyumba vya Madarasa upo katika hatua ya umaliziaji ambapo Itilima inatekeleza mradi wa ujenzi wa vyumba 27 vya Madarasa katika shule za sekondari 16 baada ya Itilima kupokea kiasi cha Tsh. Milioni 540/= kutoka serikali kuu

Matangazo

  • MATOKEO YA MTIHANI WA DARASA LA SABA WILAYANI ITILIMA October 30, 2021
  • Tangazo Kwa Watumishi Wapya Wanao endelea kuwasili Wilayani Itilima July 03, 2022
  • "Tutaukaribisha Mwenge wa Uhuru Wilayani Itilima tarehe 9/7/2022 tutaupokea katika Viwanja vya Ushirika, Nyamalapa na mkesha utakuwa katika viwanja vya Halmashuri ya Wilaya ya Itilima Wananchi wote, Wafanyakazi tuungane katika makaribis July 07, 2022
  • "Tutaukaribisha Mwenge wa Uhuru Wilayani Itilima tarehe 9/7/2022 tutaupokea katika Viwanja vya Ushirika, Nyamalapa na mkesha utakuwa katika viwanja vya Halmashuri ya Wilaya ya Itilima Wananchi wote, tuungane katika kuukaribisha Mwenge July 06, 2022
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • TUME YA TAIFA YA MPANGO WA MATUMIZI YA ARDHI YAPIMA NA KUKABIZI HATI ZA VIJIJI 25 VILIVYOPO KANDO YA POLI LA AKIBA LA MASWA

    June 30, 2024
  • BARAZA LA ARDHI ITILIMA SASA RASMI BAADA YA KUAPISHWA KWA WAJUMBE WA BARAZA

    June 26, 2024
  • KUNA MAISHA BAADA YA UTUMISHI WA UMMA

    June 20, 2024
  • MWALIMU TIMIZA WAJIBU WAKO WA MSINGI KWA AJILI YA NCHI YAKO, WAZAZI WA TANZANIA NA WATOTO KUZIFIKIA NDOTO ZAO

    June 20, 2024
  • Angalia Zote

Video

BARAZA LA MADIWANI LA MADIWANI LA WILAYAYA ITILIMA LAUFUNGA MWAKA WA FEDHA WA 2020 - 2021
Video Zaidi

Kurasa za Karibu

  • Business License
  • Procedure for Provision of Buliding Permit
  • https://www.nbs.go.tz/index.php/en/census-surveys/population-and-housing-census/802-sensa-ya-watu-na-makazi-ya-mwaka-2022
  • Land Ownership

Tovuti Mashuhuri

  • Simiyu Regional Commissioner's Office
  • President's Official Website
  • Local Government Revenue Collections Dashboard
  • Tovuti ya TAMISEMI
  • Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma
  • Salary Slip Self Service
  • FFARS LINK
  • Mfumo wa Vibali vya Kusafiri Nje ya Nchi

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Wasiliana Nasi

    DED - ITILIMA

    Sanduku la Posta: 308 BARIADI

    Simu: +255 28 29 863 29

    Simu: 028 29 863 28

    Barua Pepe: info@itilimadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

Hatimiliki ©2016 Kitengo cha TEHAMA. Haki Zote Zimehifadhiwa