• MMM |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
Itilima District Council
Itilima District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Itilima

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Sisi ni nani?
    • Dira na Dhamira
    • Taarifa ya Halmashauri
  • Utawala
    • Idara
      • Rasilimali watu
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mipango
      • Afya
      • Mifugo
      • Kilimo
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Ardhi na Maliasili
      • Maji
      • Fedha na Biashara
      • Usafi na Mazingira
      • Ujenzi
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
      • Ugavi
      • Sheria
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
    • Muundo
  • Huduma Zetu
    • Vibali vya Ujenzi
    • Leseni za Biashara
    • Umilikaji wa Ardhi
  • Machapisho
    • Sheria
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu
    • Sheria Ndogo
  • Kituo cha Habari
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba Video
    • Habari
    • Matukio
  • Miradi
    • Miradi inayofadhiliwa na Wahisani
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea na Ujenzi
    • Maandiko ya Miradi
  • Zabuni
  • Uwekezaji
  • FFARS LINK

TULISTAHILI MAKUSANYO YETU YASOMEKE ASILIMIA 106 NA SI ASILIMIA 91 - DC ITILIMA

Posted on: August 11th, 2022



Na. harunataratibu82@gmail.com

Halmashauri ya wilaya ya Itilima nimiongoni mwa Halmashauri za Mkoa wa Simiyu zilizo kusanya mapato kwa zaidi ya asilimia 100 .

Akiwasilisha taarifa ya utekelezaji wa shughuli za Halmashauri katika kikao Cha Baraza la Madiwani katika kipindi Cha julai 2021 hadi tarehe 30 Juni 2022  Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Itilima Bi. Elizabeth Gumbo alisema.

Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Itilima Bi. Elizabeth Gumbo

Halmashauri ya Wilaya ya Itilima ilikisia

 Kukusanya jumla ya Tshs. Bilioni 1.48 kutoka kwenye vyanzo vyake vya ndani Kwa mwaka 2021 - 2022, mpaka Juni 2022 Halmashauri ilikusanya jumla ya Tshs. 1.577. ambayo ni sawa na asilimia 106 ya makisio ya mapato.

Kufuatia taarifa ya Mkurugenzi Mtendaji kuhusiana na Ukusanyaji wa mapato na taarifa iliyosomwa na Waziri wa Nchi katika ofisi ya Rais Tamisemi Mhe. Innocent Bashungwa kuwa makusanyo ya Halmashauri ya Wilaya ya Itilima kwa mwaka wa fedha 2021 - 2022  ni asilimia 91 kutoka kwenye makasio ya Tsh. Bilioni 1.48.


Mkuu wa Wilaya ya Itilima Mhe. Faidha S. Salim amemuagiza Mkurugenzi wa Mtendaji kuandika barua kupitia Kwa katibu tawala wa Mkoa Kwenda  Tamisemi Kwa lengo la kuweka takwimu sahihi.

"Tulistahili makusanyo yetu yasomeke asilimia 106 na sio asilimia 91" alisema Mhe. Faidha.

Aidha katika kikao hicho Cha Baraza kilitekeleza maazimio yaliyo wekwa katika kikao kilichopita kuhusu kutoa motisha kwa kata zitakazofanya vizuri katika Makusanyo ya Mapato.

Kata ya Lagangabilili iliibuka kinara kwa kukusanya kiasi Cha shs. Milioni 21, na Mtendaji kupewa motisha ya Shs. 100,000/ nje ya asilimia Tano ya makusanyo ambayo mkusanyaji hupatiwa.

 Kata ya Mwaswale ilishika nafasi ya pili, ikifuatiwa na Kata ya Migato ilishika na fasi ya tatu , Budalabujiga nafasi ya nne na nafasi ya Tano ilishikiwa na kata ya Mwamapalala.

Aidha kuhusiana na suala Zima la makusanyo kuwa ajenda muhimu, Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Itilima Mhe. Saudi Nyalamo aliwaasa Madiwani na Watendaji wa Kata kuhakikisha wanasimamia ukusanyaji wa Mapato ili kuiweka Halmashari katika nafasi nzuri.

Mwenyekiti wa Halmashauri ya Itilima Mhe. Daud Nyalamo

Akiongea Kwa niaba ya watendaji waliopata motisha baada ya kufanyavizuri Phabiani Phabian  ambaye anaiwakilisha Kata kinara ya Lagangabilili alisema

" Kitendo cha uongozi kutoa motisha kwa wanao fanya vizuri katika makusanyo ni Jambo jema  ambalo litaleta ushindani haliyakua halmashauri yetu ikipata takwimu nzuri za makusango"

Matangazo

  • MATOKEO YA MTIHANI WA DARASA LA SABA WILAYANI ITILIMA October 30, 2021
  • Tangazo Kwa Watumishi Wapya Wanao endelea kuwasili Wilayani Itilima July 03, 2022
  • "Tutaukaribisha Mwenge wa Uhuru Wilayani Itilima tarehe 9/7/2022 tutaupokea katika Viwanja vya Ushirika, Nyamalapa na mkesha utakuwa katika viwanja vya Halmashuri ya Wilaya ya Itilima Wananchi wote, Wafanyakazi tuungane katika makaribis July 07, 2022
  • "Tutaukaribisha Mwenge wa Uhuru Wilayani Itilima tarehe 9/7/2022 tutaupokea katika Viwanja vya Ushirika, Nyamalapa na mkesha utakuwa katika viwanja vya Halmashuri ya Wilaya ya Itilima Wananchi wote, tuungane katika kuukaribisha Mwenge July 06, 2022
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • TUME YA TAIFA YA MPANGO WA MATUMIZI YA ARDHI YAPIMA NA KUKABIZI HATI ZA VIJIJI 25 VILIVYOPO KANDO YA POLI LA AKIBA LA MASWA

    June 30, 2024
  • BARAZA LA ARDHI ITILIMA SASA RASMI BAADA YA KUAPISHWA KWA WAJUMBE WA BARAZA

    June 26, 2024
  • KUNA MAISHA BAADA YA UTUMISHI WA UMMA

    June 20, 2024
  • MWALIMU TIMIZA WAJIBU WAKO WA MSINGI KWA AJILI YA NCHI YAKO, WAZAZI WA TANZANIA NA WATOTO KUZIFIKIA NDOTO ZAO

    June 20, 2024
  • Angalia Zote

Video

BARAZA LA MADIWANI LA MADIWANI LA WILAYAYA ITILIMA LAUFUNGA MWAKA WA FEDHA WA 2020 - 2021
Video Zaidi

Kurasa za Karibu

  • Business License
  • Procedure for Provision of Buliding Permit
  • https://www.nbs.go.tz/index.php/en/census-surveys/population-and-housing-census/802-sensa-ya-watu-na-makazi-ya-mwaka-2022
  • Land Ownership

Tovuti Mashuhuri

  • Simiyu Regional Commissioner's Office
  • President's Official Website
  • Local Government Revenue Collections Dashboard
  • Tovuti ya TAMISEMI
  • Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma
  • Salary Slip Self Service
  • FFARS LINK
  • Mfumo wa Vibali vya Kusafiri Nje ya Nchi

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Wasiliana Nasi

    DED - ITILIMA

    Sanduku la Posta: 308 BARIADI

    Simu: +255 28 29 863 29

    Simu: 028 29 863 28

    Barua Pepe: info@itilimadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

Hatimiliki ©2016 Kitengo cha TEHAMA. Haki Zote Zimehifadhiwa