• MMM |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
Itilima District Council
Itilima District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Itilima

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Sisi ni nani?
    • Dira na Dhamira
    • Taarifa ya Halmashauri
  • Utawala
    • Idara
      • Rasilimali watu
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mipango
      • Afya
      • Mifugo
      • Kilimo
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Ardhi na Maliasili
      • Maji
      • Fedha na Biashara
      • Usafi na Mazingira
      • Ujenzi
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
      • Ugavi
      • Sheria
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
    • Muundo
  • Huduma Zetu
    • Vibali vya Ujenzi
    • Leseni za Biashara
    • Umilikaji wa Ardhi
  • Machapisho
    • Sheria
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu
    • Sheria Ndogo
  • Kituo cha Habari
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba Video
    • Habari
    • Matukio
  • Miradi
    • Miradi inayofadhiliwa na Wahisani
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea na Ujenzi
    • Maandiko ya Miradi
  • Zabuni
  • Uwekezaji
  • FFARS LINK

TASAF YAJA NA MRADI WA VIKUNDI VYA KUWEKA NA KUKOPA KWA WANUFAIKA WAKE

Posted on: December 6th, 2019

Mpango wa kunusuru kaya masikini unao ratibiwa na Tasaf, ukiwa katika Miaka mitano ya Utekelezaji na miaka minne ya malipo umekuja na Mradi mwingine wa kuwajengea uwezo kiuchumi wanufaika wa Mpango huo kwa kuanzisha vikundi vya kuweka na kukopa.

Mradi huo ambao unaanza na Halmashauri 44 kati ya 186 nchini, Itilima ikiwemo, umetoa mafunzo ya kuweka na kukopa fedha kwa wanufaika wote wa Tasaf ili kuwajengea uwezo wa kuendesha vikundi vyao.

Akizungumza na Wananchi wa Kata Zagayu na Kinang’weli ofisa wa Tasaf kutoka Kitengo cha kuweka akiba na kukuza uchumi wa Kaya Bi. Anzanukye Mselela alisema

“ Mkiwa kwenye vikundi na mkajiwekea akiba, pesa ya Tasaf ikichelewa, pesa za kwenye kikundi ziwasaidia kwa kukopeshana wenyewe kwenye vikundi na kutozana riba yenye tija kwa lengo la kuimarisha kikundi ili kiendelee kuwahudumia”

Aidha Bi. Mselela alisema “ili vikundi viwe na tija vitasajiliwa Serikalini na mkiweza kama kikundi kuwa na mradi mwingine itakuwa vyema zaidi na kitaweza hata kushiriki kwenye maonyesho mbalimbali ya Kitaifa kwa kusafirishwa na serikali”

Mratibu wa Tasaf wilaya ya Itilima ambaye ni Mtaalam wa Maendeleo ya Jamii Ndg. John Rajabu aliwaasa wanufaika hao wa Tasaf kuto dharau vikundi hivyo kwani vikipata usajili vitaweza hata kushirikishwa katika miradi mingine na hata kunufaika na asilimia 10 ya kisheria inayo tolewa na Halmashauri kwenye Vikundi vya Wanawake, Vijana na Watu wenye ulemavu.

Sanjari na hayo, Mlezi wa Tasaf wilaya ya Itilima Paulo Tibahilila aliwataka wananchi wa Kata hizo kuhakikisha wanapata Vitambulisho vyao vya taifa au namba ya kitambulisho ilikuweza kusajili Simu zao kwa alama za vidole ili kuepuka usumbufu kwa siku zijazo.

Vilevile Tibahilila aliwataka wanufaika hao kutoa taarifa wanapo pata watoto na familia kuongezeka ili taarifa ziweze kubadirishwa kwenye mfumo ili kuepuka kupunjwa stahili zao.

Mpango huu wa kunusuru Kaya masikini unao ratibiwa na Tasaf ukiwa katika miaka mitano ya utekelezaji na minne ya Malipo umefanikiwa kwa kiwango kikubwa kuwawezesha na kuwatoa wananchi walengwa kenye hali duni iliyo kithiri na sasa unawapeleka katika hatua nyingine ya kuwajengea uwezo kupitia vikundi vya kuweka na kukopa

Matangazo

  • MATOKEO YA MTIHANI WA DARASA LA SABA WILAYANI ITILIMA October 30, 2021
  • Tangazo Kwa Watumishi Wapya Wanao endelea kuwasili Wilayani Itilima July 03, 2022
  • "Tutaukaribisha Mwenge wa Uhuru Wilayani Itilima tarehe 9/7/2022 tutaupokea katika Viwanja vya Ushirika, Nyamalapa na mkesha utakuwa katika viwanja vya Halmashuri ya Wilaya ya Itilima Wananchi wote, Wafanyakazi tuungane katika makaribis July 07, 2022
  • "Tutaukaribisha Mwenge wa Uhuru Wilayani Itilima tarehe 9/7/2022 tutaupokea katika Viwanja vya Ushirika, Nyamalapa na mkesha utakuwa katika viwanja vya Halmashuri ya Wilaya ya Itilima Wananchi wote, tuungane katika kuukaribisha Mwenge July 06, 2022
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • TUME YA TAIFA YA MPANGO WA MATUMIZI YA ARDHI YAPIMA NA KUKABIZI HATI ZA VIJIJI 25 VILIVYOPO KANDO YA POLI LA AKIBA LA MASWA

    June 30, 2024
  • BARAZA LA ARDHI ITILIMA SASA RASMI BAADA YA KUAPISHWA KWA WAJUMBE WA BARAZA

    June 26, 2024
  • KUNA MAISHA BAADA YA UTUMISHI WA UMMA

    June 20, 2024
  • MWALIMU TIMIZA WAJIBU WAKO WA MSINGI KWA AJILI YA NCHI YAKO, WAZAZI WA TANZANIA NA WATOTO KUZIFIKIA NDOTO ZAO

    June 20, 2024
  • Angalia Zote

Video

BARAZA LA MADIWANI LA MADIWANI LA WILAYAYA ITILIMA LAUFUNGA MWAKA WA FEDHA WA 2020 - 2021
Video Zaidi

Kurasa za Karibu

  • Business License
  • Procedure for Provision of Buliding Permit
  • https://www.nbs.go.tz/index.php/en/census-surveys/population-and-housing-census/802-sensa-ya-watu-na-makazi-ya-mwaka-2022
  • Land Ownership

Tovuti Mashuhuri

  • Simiyu Regional Commissioner's Office
  • President's Official Website
  • Local Government Revenue Collections Dashboard
  • Tovuti ya TAMISEMI
  • Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma
  • Salary Slip Self Service
  • FFARS LINK
  • Mfumo wa Vibali vya Kusafiri Nje ya Nchi

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Wasiliana Nasi

    DED - ITILIMA

    Sanduku la Posta: 308 BARIADI

    Simu: +255 28 29 863 29

    Simu: 028 29 863 28

    Barua Pepe: info@itilimadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

Hatimiliki ©2016 Kitengo cha TEHAMA. Haki Zote Zimehifadhiwa