• MMM |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
Itilima District Council
Itilima District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Itilima

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Sisi ni nani?
    • Dira na Dhamira
    • Taarifa ya Halmashauri
  • Utawala
    • Idara
      • Rasilimali watu
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mipango
      • Afya
      • Mifugo
      • Kilimo
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Ardhi na Maliasili
      • Maji
      • Fedha na Biashara
      • Usafi na Mazingira
      • Ujenzi
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
      • Ugavi
      • Sheria
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
    • Muundo
  • Huduma Zetu
    • Vibali vya Ujenzi
    • Leseni za Biashara
    • Umilikaji wa Ardhi
  • Machapisho
    • Sheria
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu
    • Sheria Ndogo
  • Kituo cha Habari
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba Video
    • Habari
    • Matukio
  • Miradi
    • Miradi inayofadhiliwa na Wahisani
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea na Ujenzi
    • Maandiko ya Miradi
  • Zabuni
  • Uwekezaji
  • FFARS LINK

SERIKALI YAIPATIA ITILIMA ZAIDI YA MILIONI 400 BAADA YAKUKIDHI VIGEZO UTEKELEZAJI MIRADI YA TASAF YA AWALI

Posted on: October 26th, 2022

Na. Haruna Taratibu


Halmashauri ya wilaya ya Itilima ni Miongoni mwa Halmashauri zilizo kidhi vigezo vya kupewa fedha za awamu ya Pili kutoka Mfuko was Maendeleo Tasaf Kwa ajili ya utekelezaji wa Miradi ya Maendeleo.

Katika Fedha hizo kiasi cha Tshs. Milioni 92.4/= zinaenda kutekeleza Mradi wa Jengo la Utawala Katika Shule Mpya ya Sekondari ya Nguno, na TShs. Milioni 70.6/= inaenda kujenga Vyumba viwili vya Madarasa na Matundu SITA ya vyoo katika shule hiyo

Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Itilima Bi. Elizabeth Gumbo akikagua Mradi wa ujenzi wa Zahanati ya Inalo inayo tekelezwa na fedha za Tasaf wakati ukiwa katika hatua za awala


Aidha Miradi Mingine itakayo tekelezwa ni pamoja na ujenzi wa Vyumba viwili vya Madarasa katika shule  ya Msingi Mwazimbi pamoja Matundu SITA ya Vyoo baada ya kupokea fedha kiasi cha Tshs. Milioni 68.3.

Mradi wa Bweni la wanafunzi wa kike katika shule ya sekondari Shishani unao tekelezwa Kwa fedha kutoka Tasaf ukiwa umekamilika kwa hatua ya awali, kuelekea hatua ya ukamilishaji.


Shule ya Msingi Mwabasabi iliyopo katika Kata ya Budalabujiga  imepata fedha kiasi cha Tshs. Milioni 68.3 kuanza Mradi wa ujenzi wa vyumba viwili vya Madarasa na matundu SITA ya vyoo.

Sanjari na hayo Mradi wa Ujenzi wa Bweni katika shule ya Sekondari Shishani umepokea tena fedha kiasi cha Tshs. Milioni 76.6 Kwa ajili ya kukamilisha ujenzi wa Bweni hilo lenye uwezi wa kuhudumia wanafunzi 80.

Wajumbe wa Kamati ya Fedha, Uongozi na Mipango wakikagua Mradi wa Bweni katika shule ya sekondari Shishani, mradi unatekelezwa na fedha kutoka Tasaf


Katika awamu ya kwanza Wilaya ya Itilima ilipokea fedha kiasi cha Tshs. Milioni 451/= na kutekeleza Mradi wa Vyumba viwika vya Madarasa na Matundu SITA ya vyoo shule ya mpya ya sekondari Nguno.


Aidha fedha hizo za awali zinaendelea kutekeleza Mradi wa ujenzi wa Zahanati katika Kijiji cha Gambasingu, Inalo na Mwagimagi ambapo ujenzi upo katika hatua za umaliziaji na Ujenzi wa Bweni katika shule ya sekondari Shishani.



Matangazo

  • MATOKEO YA MTIHANI WA DARASA LA SABA WILAYANI ITILIMA October 30, 2021
  • Tangazo Kwa Watumishi Wapya Wanao endelea kuwasili Wilayani Itilima July 03, 2022
  • "Tutaukaribisha Mwenge wa Uhuru Wilayani Itilima tarehe 9/7/2022 tutaupokea katika Viwanja vya Ushirika, Nyamalapa na mkesha utakuwa katika viwanja vya Halmashuri ya Wilaya ya Itilima Wananchi wote, Wafanyakazi tuungane katika makaribis July 07, 2022
  • "Tutaukaribisha Mwenge wa Uhuru Wilayani Itilima tarehe 9/7/2022 tutaupokea katika Viwanja vya Ushirika, Nyamalapa na mkesha utakuwa katika viwanja vya Halmashuri ya Wilaya ya Itilima Wananchi wote, tuungane katika kuukaribisha Mwenge July 06, 2022
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • TUME YA TAIFA YA MPANGO WA MATUMIZI YA ARDHI YAPIMA NA KUKABIZI HATI ZA VIJIJI 25 VILIVYOPO KANDO YA POLI LA AKIBA LA MASWA

    June 30, 2024
  • BARAZA LA ARDHI ITILIMA SASA RASMI BAADA YA KUAPISHWA KWA WAJUMBE WA BARAZA

    June 26, 2024
  • KUNA MAISHA BAADA YA UTUMISHI WA UMMA

    June 20, 2024
  • MWALIMU TIMIZA WAJIBU WAKO WA MSINGI KWA AJILI YA NCHI YAKO, WAZAZI WA TANZANIA NA WATOTO KUZIFIKIA NDOTO ZAO

    June 20, 2024
  • Angalia Zote

Video

BARAZA LA MADIWANI LA MADIWANI LA WILAYAYA ITILIMA LAUFUNGA MWAKA WA FEDHA WA 2020 - 2021
Video Zaidi

Kurasa za Karibu

  • Business License
  • Procedure for Provision of Buliding Permit
  • https://www.nbs.go.tz/index.php/en/census-surveys/population-and-housing-census/802-sensa-ya-watu-na-makazi-ya-mwaka-2022
  • Land Ownership

Tovuti Mashuhuri

  • Simiyu Regional Commissioner's Office
  • President's Official Website
  • Local Government Revenue Collections Dashboard
  • Tovuti ya TAMISEMI
  • Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma
  • Salary Slip Self Service
  • FFARS LINK
  • Mfumo wa Vibali vya Kusafiri Nje ya Nchi

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Wasiliana Nasi

    DED - ITILIMA

    Sanduku la Posta: 308 BARIADI

    Simu: +255 28 29 863 29

    Simu: 028 29 863 28

    Barua Pepe: info@itilimadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

Hatimiliki ©2016 Kitengo cha TEHAMA. Haki Zote Zimehifadhiwa