• MMM |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
Itilima District Council
Itilima District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Itilima

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Sisi ni nani?
    • Dira na Dhamira
    • Taarifa ya Halmashauri
  • Utawala
    • Idara
      • Rasilimali watu
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mipango
      • Afya
      • Mifugo
      • Kilimo
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Ardhi na Maliasili
      • Maji
      • Fedha na Biashara
      • Usafi na Mazingira
      • Ujenzi
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
      • Ugavi
      • Sheria
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
    • Muundo
  • Huduma Zetu
    • Vibali vya Ujenzi
    • Leseni za Biashara
    • Umilikaji wa Ardhi
  • Machapisho
    • Sheria
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu
    • Sheria Ndogo
  • Kituo cha Habari
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba Video
    • Habari
    • Matukio
  • Miradi
    • Miradi inayofadhiliwa na Wahisani
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea na Ujenzi
    • Maandiko ya Miradi
  • Zabuni
  • Uwekezaji
  • FFARS LINK

RC. KAFULILA APIGA MARUFUKU USAFIRISHAJI ABIRIA KWA MAGARI MADOGO MAARUFU "MCHOMOKO"

Posted on: July 13th, 2022


MKUU wa mkoa wa Simiyu,David Kafulila amepiga marufuku kwa magari madogo ya abiria yanafanya biashara ya kusafirisha watu maarufu kwa jina la  Michomoko  katika mkoa huo kuacha mara moja kwani wanakiuka masharti ya leseni zao.

Pia magari hayo yamekuwa ndiyo chanzo cha ajali katika mkoa huo na kusababisha kupoteza maisha ya watu na kuwapatia vilema vya maisha.

Rc Kafulila amefikia Uamuzi huo kufuatia ajali iliyotokea usiku wa kuamkia leo katika eneo ya Magereza nje kidogo ya mji wa Bariadi ambapo watu watano waliopoteza maisha na wengine kumi na moja kujeruhiwa.

Kafulila ameyasema hayo leo wakati akizungumza na waandishi wa habari mara baada ya kukutana na kamati ya ulinzi na usalama ya mkoa huo ambapo alisema vyombo hivyo vya usafiri pamoja na wamiliki wake wamekuwa hawafuati maelekezo ya serikali ikiwemo mamlaka ya udhibiti usafirishaji wa ardini (LATRA).

 Amesema pamoja na hatua zingine za kiutawala zinazoendelea kutokana na ajali hizo yeye kama mkuu wa Mkoa aamua kufanya maamuzi ya kimfumo kwa maana ya kwamba hizo gari zinasajiliwa kwa ajili ya kufanya kazi na zinafanya kama daladala (tax).

Amesema inafahamika kwamba Ili gari zifanye kazi kama daladala, kuna utaratibu wake ikiwemo rangi na alama pamoja na namba ili kusudi likitokea tatizo lolote lile iwe rahisi kufahamika na kuziratibu.

"Wamiliki na waendeshaji wa michomoko kwa zaidi ya nusu mwaka wameshapewa maelekezo ya taratibu za kufuatia Ili kusudi waendelee na kazi hizo za usafirishaji lakini mpaka Sasa hakuna gari iliyotekele hayo maelekezo Ili isajiliwe" amesema Kafulila.

Amesema kuwa kutokana na ajali hizo zimekuwa zikighalimu maisha ya watu, kusababisha ulemavu na kutokana na ukubwa wa jambo lenyewe nimeelekeza kuanzia leo gari zote aina ya michomoko hazipaswi kuonekana barabarani zikifanya biashara ya usafirishaji wa abiria mpaka itapo amliwa vinginevyo.

Aidha ametoa wito kwa wamiliki wa magari ya abiria na wawekezaji katika sekta ya usafirishaji wake katika soko la Simiyu kwa huo ni usafiri salama zaidi na kunauhitaji mkubwa wa magari ya abria  Ili kuziba ukosefu wa usafiri.

Matangazo

  • MATOKEO YA MTIHANI WA DARASA LA SABA WILAYANI ITILIMA October 30, 2021
  • Tangazo Kwa Watumishi Wapya Wanao endelea kuwasili Wilayani Itilima July 03, 2022
  • "Tutaukaribisha Mwenge wa Uhuru Wilayani Itilima tarehe 9/7/2022 tutaupokea katika Viwanja vya Ushirika, Nyamalapa na mkesha utakuwa katika viwanja vya Halmashuri ya Wilaya ya Itilima Wananchi wote, Wafanyakazi tuungane katika makaribis July 07, 2022
  • "Tutaukaribisha Mwenge wa Uhuru Wilayani Itilima tarehe 9/7/2022 tutaupokea katika Viwanja vya Ushirika, Nyamalapa na mkesha utakuwa katika viwanja vya Halmashuri ya Wilaya ya Itilima Wananchi wote, tuungane katika kuukaribisha Mwenge July 06, 2022
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • TUME YA TAIFA YA MPANGO WA MATUMIZI YA ARDHI YAPIMA NA KUKABIZI HATI ZA VIJIJI 25 VILIVYOPO KANDO YA POLI LA AKIBA LA MASWA

    June 30, 2024
  • BARAZA LA ARDHI ITILIMA SASA RASMI BAADA YA KUAPISHWA KWA WAJUMBE WA BARAZA

    June 26, 2024
  • KUNA MAISHA BAADA YA UTUMISHI WA UMMA

    June 20, 2024
  • MWALIMU TIMIZA WAJIBU WAKO WA MSINGI KWA AJILI YA NCHI YAKO, WAZAZI WA TANZANIA NA WATOTO KUZIFIKIA NDOTO ZAO

    June 20, 2024
  • Angalia Zote

Video

BARAZA LA MADIWANI LA MADIWANI LA WILAYAYA ITILIMA LAUFUNGA MWAKA WA FEDHA WA 2020 - 2021
Video Zaidi

Kurasa za Karibu

  • Business License
  • Procedure for Provision of Buliding Permit
  • https://www.nbs.go.tz/index.php/en/census-surveys/population-and-housing-census/802-sensa-ya-watu-na-makazi-ya-mwaka-2022
  • Land Ownership

Tovuti Mashuhuri

  • Simiyu Regional Commissioner's Office
  • President's Official Website
  • Local Government Revenue Collections Dashboard
  • Tovuti ya TAMISEMI
  • Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma
  • Salary Slip Self Service
  • FFARS LINK
  • Mfumo wa Vibali vya Kusafiri Nje ya Nchi

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Wasiliana Nasi

    DED - ITILIMA

    Sanduku la Posta: 308 BARIADI

    Simu: +255 28 29 863 29

    Simu: 028 29 863 28

    Barua Pepe: info@itilimadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

Hatimiliki ©2016 Kitengo cha TEHAMA. Haki Zote Zimehifadhiwa