• MMM |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
Itilima District Council
Itilima District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Itilima

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Sisi ni nani?
    • Dira na Dhamira
    • Taarifa ya Halmashauri
  • Utawala
    • Idara
      • Rasilimali watu
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mipango
      • Afya
      • Mifugo
      • Kilimo
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Ardhi na Maliasili
      • Maji
      • Fedha na Biashara
      • Usafi na Mazingira
      • Ujenzi
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
      • Ugavi
      • Sheria
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
    • Muundo
  • Huduma Zetu
    • Vibali vya Ujenzi
    • Leseni za Biashara
    • Umilikaji wa Ardhi
  • Machapisho
    • Sheria
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu
    • Sheria Ndogo
  • Kituo cha Habari
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba Video
    • Habari
    • Matukio
  • Miradi
    • Miradi inayofadhiliwa na Wahisani
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea na Ujenzi
    • Maandiko ya Miradi
  • Zabuni
  • Uwekezaji
  • FFARS LINK

NAIBU WAZIRI OR - TAMISEMI ARIDHISHWA UTEKELEZAJI MIRADI YA AFYA ITILIMA

Posted on: January 17th, 2023

Haruna Taratibu

Naibu waziri Ofisi ya Rais Tamisemi - Afya Mhe. Dkt. Festo Dugange aridhishwa na utekelezaji wa Miradi ya Afya wilayani Itilima.

Mhe. Dugange alifanya ziara ya ukaguzi wa Mradi wa ujenzi Kituo kipya cha Afya cha Mwanhunda kilinajengwa katika kata ya Migato kwa fedha za Tozo kutoka serikalini kiasi cha Tshs. Milioni 500/

Akiwa kituoni  hapo Mhe. Dugange aliuagiza   uongozi wa Mkoa na Wilaya kuhakikisha kituo hicho kinanza kutoa tarehe  huduma  kwa wateja wa huduma za Nje kuanzia tarehe 1/2/2023 .

Aidha Dkt. Dugange alitoa wito Kwa  uongozi  Halmashauri kuhakikishaasilimia chache zilizo baki za ukamilishaji   na utaratibu wa kujenga Nyumba ya Watumishi unaanza mapema.

Sanjari na hayo Dkt. Festo Dugange aliziagiza Halimashauri zote nchini kuhakikisha nyumba za watumishi zilizo jengwa katika hospitali zote za wilaya zinaanza kutumika Ili huduma Kwa wateja zitolewe kwa ufanisi zaidi.

Kwa upande Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Itilima Bi. Elizabeth Gumbo aliushukuru uongozi wa serikali ya Awamu ya SITA chini ya uongozi mahili wa Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kufanikisha ujenzi wa kituo hiki cha Afya  na alitoa Rai Kwa wananchi wa Migato

"Tuhakikishe tunailinda na kuitunza  Miundombinu hii Ili iweze kuhudumia wananchi na kufikiwa kwa malengo yaliyo kusudiwa ya kuokoa maisha kwa kitoa huduma za dharula Kwa wakati.

Diwani wa kata Mhe. Ntobi Mbuga aliimshukuru Mhe. Rais Dkt. Simia Suluhu Hassan Kwa kuipatia Kata ya Migato kituo cha Afya, Kwa kipindi kirefu wakazi wa migato wamekua wakisafiri umbali mrefu kutafuta huduma za afya, uwepo kituo hiki utatatua changamoto zilizo kiwa zinawakabili wanamigato hususana Kwa wakina Mama wajawazito na watoto.

Mhe. Dkt. Dugange alikamilisha ziara yake kwa kutembelea Hospitali ya Wilaya ya Itilima na aliipongeza kwa kuanza  kutoa huduma za upasuani na huduma kwa Wateja wa Nje, Dkt. Dugange alisema

"Mpaka Sasa Serikali imeshaleta fedha hapa zaidi ya Bilioni 3/ na majengo 17 yamejengwa hapa na baadhi ya majengo yameanza kutoa huduma, niwa hakikishie serikali italeta vifaa zaidi n suala la wataalamu wa Mionzi serikali italifanyia kazi"

Wananchi wa Itilima kwa kipindi kirefu wamekuwa wakilazimika kusafiri katika wilaya ya jirani ya Bariadi na hata Mwanza Kwa ajili ya kufuata huduma za dharura, hali hii imekua ikisababisha baadhi Wakinamama wajawazito kupoteza maisha wakiwa njiani, hivyo basi uwekezaji huu wa serikali ya Awamu ya sita utatatua kwa kiasi kikuba changamoto hizo.

Matangazo

  • MATOKEO YA MTIHANI WA DARASA LA SABA WILAYANI ITILIMA October 30, 2021
  • Tangazo Kwa Watumishi Wapya Wanao endelea kuwasili Wilayani Itilima July 03, 2022
  • "Tutaukaribisha Mwenge wa Uhuru Wilayani Itilima tarehe 9/7/2022 tutaupokea katika Viwanja vya Ushirika, Nyamalapa na mkesha utakuwa katika viwanja vya Halmashuri ya Wilaya ya Itilima Wananchi wote, Wafanyakazi tuungane katika makaribis July 07, 2022
  • "Tutaukaribisha Mwenge wa Uhuru Wilayani Itilima tarehe 9/7/2022 tutaupokea katika Viwanja vya Ushirika, Nyamalapa na mkesha utakuwa katika viwanja vya Halmashuri ya Wilaya ya Itilima Wananchi wote, tuungane katika kuukaribisha Mwenge July 06, 2022
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • SERIKALI YAITENGEA ITILIMA BILIONI 2.37 KUTEGENEZA KM. 238.88 ZA BARABARA NA KM.1 YA LAMI MAKAO MAKUU YA WILAYA

    February 18, 2023
  • NAIBU WAZIRI OR - TAMISEMI ARIDHISHWA UTEKELEZAJI MIRADI YA AFYA ITILIMA

    January 17, 2023
  • MAJINA YA WANAFUNZI WALIO CHAGULIWA KUJIUNGA KIDATO CHA KWANZA ITILIMA

    December 14, 2022
  • ITILIMA YAWEKEWA MALENGO KUZALISHA TANI 130,000 ZA PAMBA MSIMU HUU WA KILIMO

    November 28, 2022
  • Angalia Zote

Video

BARAZA LA MADIWANI LA MADIWANI LA WILAYAYA ITILIMA LAUFUNGA MWAKA WA FEDHA WA 2020 - 2021
Video Zaidi

Kurasa za Karibu

  • Business License
  • Procedure for Provision of Buliding Permit
  • Land Ownership

Tovuti Mashuhuri

  • Simiyu Regional Commissioner's Office
  • President's Official Website
  • Local Government Revenue Collections Dashboard
  • Tovuti ya TAMISEMI
  • Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma
  • Salary Slip Self Service
  • FFARS LINK
  • Mfumo wa Vibali vya Kusafiri Nje ya Nchi

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Wasiliana Nasi

    DED - ITILIMA

    Sanduku la Posta: 308 BARIADI

    Simu: +255 28 29 863 29

    Simu: 028 29 863 28

    Barua Pepe: info@itilimadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

Hatimiliki ©2016 Kitengo cha TEHAMA. Haki Zote Zimehifadhiwa