• MMM |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
Itilima District Council
Itilima District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Itilima

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Sisi ni nani?
    • Dira na Dhamira
    • Taarifa ya Halmashauri
  • Utawala
    • Idara
      • Rasilimali watu
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mipango
      • Afya
      • Mifugo
      • Kilimo
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Ardhi na Maliasili
      • Maji
      • Fedha na Biashara
      • Usafi na Mazingira
      • Ujenzi
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
      • Ugavi
      • Sheria
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
    • Muundo
  • Huduma Zetu
    • Vibali vya Ujenzi
    • Leseni za Biashara
    • Umilikaji wa Ardhi
  • Machapisho
    • Sheria
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu
    • Sheria Ndogo
  • Kituo cha Habari
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba Video
    • Habari
    • Matukio
  • Miradi
    • Miradi inayofadhiliwa na Wahisani
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea na Ujenzi
    • Maandiko ya Miradi
  • Zabuni
  • Uwekezaji
  • FFARS LINK

MBUNGE WA JIMBO LA ITILIMA AKABIDHI MKOPO WA PIKIPIKI TANO KWA KIKUNDI CHA VIJANA WA BODABODA CHA NDING'HO

Posted on: December 17th, 2021

Na. harunataratibu82@gmail.com

Mbunge wa Jimbo la Itilima Mhe. Njalu D. Silanga Leo ameshiriki zoezi la kukabidhi bodaboda tano kwa kikundi cha vijana cha bodaboda cha Kijiji cha Ndingho kilichopo katika Kata ya Mwaswale Wilayani Itilima.

Amikabidhi bodaboda hizo zenye thamani ya tsh. Milioni 12.25 Mhe. Mbunge aliwaasa vijana hao kutunza vyombo hivyo ili lengo la kujikomboa kiuchumi liweze kufikiwa.

Aidha Mhe. Njalu alisema " mnawajibika kutekeleza mashariti ya mkopo huu ikiwa pamoja na kulipakwa wakati marejesho ya mkopo, vile vile muwashawishi vijana wengine wajiunge katika vikundi, wasajiliwe na wawezeshe na w apate kujikomboa"

Kwa upande wa Makamo Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Itilima Mhe. Mboje Mhuli aliwaasa vijana hao kulejesha mkopo huo kwa wakati.

Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri (W) Itilima Bi. Elizabeth Gumbo aliwapongeza vijana hao kwa kukidhi vigezo na kukopeshwa bodaboda hizo na kuwataka kutunza vyombo hivyo kwa umakini kwa sasa ni sehemu ya Akira Yao.

Vijana hao waliwekewa Lita tana za mafuta ya petroli na Lita Moja ya Oil pamoja na kukatiwa bima ILI waanze Kazi ya kujiingizia kipato pamoja na kurejesha marejesho ya mkopo huo.

Itilima ni miongoni mwa Wilaya zinazo tekeleza kwa vitendo sera ya kutenga asilimia 10 ya mapato yake ya ndani kwa ajili ya kuwainua kiuchumi Wanawake, vijana na jamii ya watu wenye ulemavu.


Matangazo

  • ITILIMA YAPOKEA KIASI CHA SH. BILIONI 3.117 KUTOKA SERIKALI KUU KATIKA KIPINDI CHA JULAI - OKTOBA 2021 KWA AJILI SHUGHULI ZA MAENDELEO October 23, 2021
  • MATOKEO YA MTIHANI WA DARASA LA SABA WILAYANI ITILIMA October 30, 2021
  • MPANGO NA BAJETI ULIOIDHINISHWA KWA MWAKA WA FEDHA 2020/2021 KATIKA HALMASHAURI YA WILAYA ITILIMA November 13, 2020
  • FOMU ZA KUJIUNGA NA KIDATO CHA KWANZA WILAYA YA ITILIMA December 16, 2020
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • ITILIMA IMEPOKEA BILIONI 46.3 UTEKELEZAJI MIRADI YA MAENDELEO , MWAKA MMOJA WA RAIS SAMIA

    March 29, 2022
  • ITILIMA YAPONGEZWA KUTAMBUA MCHANGO WA WALIMU, VONGOZI, WADAU KATIKA KUKUZA ELIMU

    March 11, 2022
  • ITILIMA MMEMTHIBITISHIA KWA VITENDO MHE. RAIS, HAKUTAKUWA NA CHAGUO LA PILI KWA WATOTO WA KIDATO CHA KWANZA, MHE. DUGANGE

    December 22, 2021
  • MBUNGE WA JIMBO LA ITILIMA AKABIDHI MKOPO WA PIKIPIKI TANO KWA KIKUNDI CHA VIJANA WA BODABODA CHA NDING'HO

    December 17, 2021
  • Angalia Zote

Video

BARAZA LA MADIWANI LA MADIWANI LA WILAYAYA ITILIMA LAUFUNGA MWAKA WA FEDHA WA 2020 - 2021
Video Zaidi

Kurasa za Karibu

  • Business License
  • Procedure for Provision of Buliding Permit
  • Land Ownership

Tovuti Mashuhuri

  • Simiyu Regional Commissioner's Office
  • President's Official Website
  • Local Government Revenue Collections Dashboard
  • Tovuti ya TAMISEMI
  • Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma
  • Salary Slip Self Service
  • FFARS LINK
  • Mfumo wa Vibali vya Kusafiri Nje ya Nchi

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Wasiliana Nasi

    DED - ITILIMA

    Sanduku la Posta: 308 BARIADI

    Simu: +255 28 29 863 29

    Simu: 028 29 863 28

    Barua Pepe: info@itilimadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

Hatimiliki ©2016 Kitengo cha TEHAMA. Haki Zote Zimehifadhiwa