• MMM |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
Itilima District Council
Itilima District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Itilima

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Sisi ni nani?
    • Dira na Dhamira
    • Taarifa ya Halmashauri
  • Utawala
    • Idara
      • Rasilimali watu
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mipango
      • Afya
      • Mifugo
      • Kilimo
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Ardhi na Maliasili
      • Maji
      • Fedha na Biashara
      • Usafi na Mazingira
      • Ujenzi
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
      • Ugavi
      • Sheria
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
    • Muundo
  • Huduma Zetu
    • Vibali vya Ujenzi
    • Leseni za Biashara
    • Umilikaji wa Ardhi
  • Machapisho
    • Sheria
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu
    • Sheria Ndogo
  • Kituo cha Habari
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba Video
    • Habari
    • Matukio
  • Miradi
    • Miradi inayofadhiliwa na Wahisani
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea na Ujenzi
    • Maandiko ya Miradi
  • Zabuni
  • Uwekezaji
  • FFARS LINK

MADIWANI ITILIMA WARIDHISHWA NA TAARIFA YA HESABU ZA MWISHO ZA HALMASHAURI ZILIZO ISHIA JUNI 30,2022

Posted on: September 29th, 2022

Na. Haruna Taratibu

Baraza la Madiwani la Halmashauri ya Itilima  leo limepitia taarifa ya hesabu za Mwaka wa fedha unaoishia Juni 30,2022  katika kikao hicho Wah. Madiwani walijikita  katika Taarifa ya Mizania (Statement of Financial position), Taarifa ya Mapato na Matumizi (Statememt of Finencial Perfomance, Taarifa ya mabadiliko katika mali halisi za Halmashauri (statement of Changes in Net Asset na Mtiririko wa fedha (Cash Flow Statememt.

Wah. Madiwani wakifuatilia Kwa Makini wasilisho kutoka Kwa Mweka Hazina la Taarifa ya Hesabu za Halmashauri zilizo ishia Juni 30,2022


Akiwasilisha Taarifa Hiyo Kwa niaba ya Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Itilima, Mweka Hazina wa Halmashauri Bw. Essau Njawa alisema ya kwamba“Taarifa Hiyo imeandaliwa kwa kufuata viwango vya Kimataifa vya Uhasibu katika Sekta za Umma IPSASs, pamoja na Sehemu ya (iv) ya Sheria Na. 9 ya Fedha za Mamlaka ya Serikali za Mitaa ya Mwaka 1982 iliyo rekebishwa mwa 2000 kulingana na agizo Na. 31(3) la Memoranda za Serikali za Mitaa yam waka 2009.

Kulingana na wasilisho hilo Taarifa za Hesabu za Halmashauri ya Itilima kwa mwaka wafedha 2021/2022 zimejumuisha taarifa za kifedha za Makao Makuu ya Wilaya ya Itilima, na taarifa za kifedha za ngazi zote ikiwepo katika shule zote za Msingi na Sekondari, Hospitali ya Wilaya, vituo vya Afya , Zahanati na Vijiji Kutokana na Mizania ya Halmashauri taarifa zilizo ainishwa ni Mali za Muda Mfupi zenye thamani ya Shilingi  Bilioni 7,902,039,693.00 ambapo fedha taslimu ikiwa Bilioni. 3.796,447,197.00 

Huku fedha zilizoko kwa wadaiwa ni Bilioni. 1,857,331,144.00 huku vifaa vilivyo salia stoo vikiwa na thamani ya Tsh. Bilioni 2,248261,352.00.Aidha kwa upande wa mali za kudumu Halmashauri ina mali zenye thamani ya Tsh. Bilioni 28,020,352,516.00, mali hizo ni kama Ardhi, Majengo, Mitambo na Mashine, Kompyuta na vifaa vyake, samani za ofisi, magari, pikipiki na baiskeli na mashine za kukusanyia mapato.

Wakuu wa Idara na Vitengo wa Halmashauri ya Itilima wakifuatilia Kwa makini Mjadala wa Baraza maalumu la taarifa za hesabu za Halmashauri.


Aidha kwa upande wa taarifa ya madeni ya muda mfupi, ina jumla ya Tsh. Bilioni 5,087,171,774.00 ikihusisha taarifa ya wadai wa Halmashauri ambao wanadai kiasi cha Tsh. Bilioni 1,780,353, 767.00 na fedha za  Ruzuku ya shughuli za kawaida ambayo haikutumika kiasi cha Tsh. Bilioni 3.306,818,007.00 

 Taarifa ili hitimishwa kwa kuonyeza Mtiririko wa fedha ambazo Halmashauri imepokea na kulipa katika shughuli za uendeshaji, uwezeshaji na uwekezaji kwa mwaka mzima ambapo fedha iliyopokelewa ni Tsh. Bilioni 28,607,813,417.00 ambayo ilihusisha Mishahara, uendeshaji wa Elimu bila malipo, utekezaji wa miradi ya maendeleo na Huduma za Afya.

Katika kiasi hicho, fedha iliyo tumika ni Tshs. Bilioni 28, 111,749,564.00 huku fedha iliyotumika katika Uwezeshaji ikiwa ni Tshs. Milioni 250,676,529.00 na salio anzia kwa mwaka wa fedha 2021/2022 Tshs. Bilioni 1,844,525,608.00 huku salio ishia kwa mwaka 2021/2022 likiwa fedha taslimu  kiasi cha Tshs. Milioni. 654,369,047.00.

Diwani wa Kata ya Zagayu Mhe. William Kuzenza akichangia mada katika kikao maalum cha Baraza la kujadili taarifa za Hesabu za Halmashauri zilizo ishia Juni 2022.

Akichangia kuhusiana na taarifa hiyo Diwani wa Kata ya Zagayu Mhe. William Kuzenza alipongeza uongozi kwa kusimamia matumizi na kupelekea Halmashauri kuwa na mali za Kudumu zenye thamani ya Zaidi ya Tsh. Bilioni 28/ pamoja na kuwa na Mizania ya fedha ainzia kiasi cha Tshs. Bilioni 1.8/= na Fedha ishia kiasi cha Zaidi ya Tshs Milioni 600/= kwa mujibu wa Mhe. Kuzenza Halmashauri ya Itilima imepiga hatua kubwa

Diwani wa Kata ya Luguru Mhe. Robert Jongela alishauri Uongozi kuweka utaratibu wa uwekezaji kwa siku za usoni ili Halmashauri iweze kupata fedha kupitia Hisa zitakazo wekezwa katika makampuni mbalimbali.

Matangazo

  • MATOKEO YA MTIHANI WA DARASA LA SABA WILAYANI ITILIMA October 30, 2021
  • Tangazo Kwa Watumishi Wapya Wanao endelea kuwasili Wilayani Itilima July 03, 2022
  • "Tutaukaribisha Mwenge wa Uhuru Wilayani Itilima tarehe 9/7/2022 tutaupokea katika Viwanja vya Ushirika, Nyamalapa na mkesha utakuwa katika viwanja vya Halmashuri ya Wilaya ya Itilima Wananchi wote, Wafanyakazi tuungane katika makaribis July 07, 2022
  • "Tutaukaribisha Mwenge wa Uhuru Wilayani Itilima tarehe 9/7/2022 tutaupokea katika Viwanja vya Ushirika, Nyamalapa na mkesha utakuwa katika viwanja vya Halmashuri ya Wilaya ya Itilima Wananchi wote, tuungane katika kuukaribisha Mwenge July 06, 2022
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • TUME YA TAIFA YA MPANGO WA MATUMIZI YA ARDHI YAPIMA NA KUKABIZI HATI ZA VIJIJI 25 VILIVYOPO KANDO YA POLI LA AKIBA LA MASWA

    June 30, 2024
  • BARAZA LA ARDHI ITILIMA SASA RASMI BAADA YA KUAPISHWA KWA WAJUMBE WA BARAZA

    June 26, 2024
  • KUNA MAISHA BAADA YA UTUMISHI WA UMMA

    June 20, 2024
  • MWALIMU TIMIZA WAJIBU WAKO WA MSINGI KWA AJILI YA NCHI YAKO, WAZAZI WA TANZANIA NA WATOTO KUZIFIKIA NDOTO ZAO

    June 20, 2024
  • Angalia Zote

Video

BARAZA LA MADIWANI LA MADIWANI LA WILAYAYA ITILIMA LAUFUNGA MWAKA WA FEDHA WA 2020 - 2021
Video Zaidi

Kurasa za Karibu

  • Business License
  • Procedure for Provision of Buliding Permit
  • https://www.nbs.go.tz/index.php/en/census-surveys/population-and-housing-census/802-sensa-ya-watu-na-makazi-ya-mwaka-2022
  • Land Ownership

Tovuti Mashuhuri

  • Simiyu Regional Commissioner's Office
  • President's Official Website
  • Local Government Revenue Collections Dashboard
  • Tovuti ya TAMISEMI
  • Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma
  • Salary Slip Self Service
  • FFARS LINK
  • Mfumo wa Vibali vya Kusafiri Nje ya Nchi

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Wasiliana Nasi

    DED - ITILIMA

    Sanduku la Posta: 308 BARIADI

    Simu: +255 28 29 863 29

    Simu: 028 29 863 28

    Barua Pepe: info@itilimadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

Hatimiliki ©2016 Kitengo cha TEHAMA. Haki Zote Zimehifadhiwa