• MMM |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
Itilima District Council
Itilima District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Itilima

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Sisi ni nani?
    • Dira na Dhamira
    • Taarifa ya Halmashauri
  • Utawala
    • Idara
      • Rasilimali watu
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mipango
      • Afya
      • Mifugo
      • Kilimo
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Ardhi na Maliasili
      • Maji
      • Fedha na Biashara
      • Usafi na Mazingira
      • Ujenzi
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
      • Ugavi
      • Sheria
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
    • Muundo
  • Huduma Zetu
    • Vibali vya Ujenzi
    • Leseni za Biashara
    • Umilikaji wa Ardhi
  • Machapisho
    • Sheria
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu
    • Sheria Ndogo
  • Kituo cha Habari
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba Video
    • Habari
    • Matukio
  • Miradi
    • Miradi inayofadhiliwa na Wahisani
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea na Ujenzi
    • Maandiko ya Miradi
  • Zabuni
  • Uwekezaji
  • FFARS LINK

KAMWE HATUTAITUPA FAMILIA YA MWANYIGU: MTAKA

Posted on: December 5th, 2018


Mkuu wa Mkoa wa Simiyu Mhe. Anthony Mtaka ahidi kutoitupa Familia ya Mkurugenzi wa Itilima Marehemu Mariano Mwanyigu.


Mhe. Mtaka alitoa ahadi hiyo katika mazishi ya marehemu Mwanyigu yaliyo fanyika katika viwanja vya Kanisa katoliki vilivyopo katika kijiji cha Luhololo Wilayani Njombe.


"Nisingependa kusikia Mjane wa Marehemu anaanza kuangaika kufuatilia mirathi ya Marehemu Mume wake wakati bado tupo kwenye utumishi wa umma na kuna umoja wa  Wakurugenzi 184 Nchi nzima, Marehemu alikuwa wa 185 ambao wanaweza kufanya jambo" alisema Mtaka.


Aidha Mtaka aliwataka wananjombe na viongozi wengine kujifunza kupitia Marehemu Mwanyigu kwa kufanya mambo kwa umakini na kuamini kile unachokifanya


" Mwanyigu alifanya mambo makubwa sana katika taaluma yake ya Ualimu na alijitengenezea mtandao kupitia taaluma hiyo, halikadharika katika Ukurugenzi wake alifanya hivyo, hakika sisi kama Wanasimiyu tutamkumbuka daima Mwalimu Mwanyigu " alisema Mtaka


Hata hivyo Mhe. Mtaka alitoa tahadhari kwa wana familia kuhusiana na mirathi ya  Marehemu kwa kusema "Mirathi ya Marehemu Mwanyigu na ya Mjane wa Marehemu na watoto wake, haiwahisu ndugu wa mbali wala wa karibu labda waamue kuwapa"


Marehemu Mwanyigu alizaliwa mwaka 1964 Wilayani Njombe alihudumu kama mwalimu katika shule ya Sekondari ya Wavulana Songea, kabla ya kuhamia Shule ya Sekondari Njombe ambapo alihudumu kama makamo mkuu wa Shule, baadaye Marehemu alihamia katika shule ya sekondari J.J. Munga kama Mkuu wa Shule.


Mwaka 2015 Marehemu Mwanyigu aligombea Kuteuliwa kupitia CCM kuwa Mgombea wa Ubunge katika Jumbo LA Njombe Mjini lakini kura hazikutosha, kwa jitihada zote za kutaka kuwatumikia wananchi Rais wajamhuri wa Muungano wa Tanzania Mhe. John Pombe Mgufuri alimteua kuwa Mkurugenzi wa Wilaya ya Itilima ambapo paka mauti yanamkuta alikuwa Mkurugenzi wa Itilima.

#tutakukumbukadaima

Matangazo

  • MATOKEO YA MTIHANI WA DARASA LA SABA WILAYANI ITILIMA October 30, 2021
  • Tangazo Kwa Watumishi Wapya Wanao endelea kuwasili Wilayani Itilima July 03, 2022
  • "Tutaukaribisha Mwenge wa Uhuru Wilayani Itilima tarehe 9/7/2022 tutaupokea katika Viwanja vya Ushirika, Nyamalapa na mkesha utakuwa katika viwanja vya Halmashuri ya Wilaya ya Itilima Wananchi wote, Wafanyakazi tuungane katika makaribis July 07, 2022
  • "Tutaukaribisha Mwenge wa Uhuru Wilayani Itilima tarehe 9/7/2022 tutaupokea katika Viwanja vya Ushirika, Nyamalapa na mkesha utakuwa katika viwanja vya Halmashuri ya Wilaya ya Itilima Wananchi wote, tuungane katika kuukaribisha Mwenge July 06, 2022
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • TUME YA TAIFA YA MPANGO WA MATUMIZI YA ARDHI YAPIMA NA KUKABIZI HATI ZA VIJIJI 25 VILIVYOPO KANDO YA POLI LA AKIBA LA MASWA

    June 30, 2024
  • BARAZA LA ARDHI ITILIMA SASA RASMI BAADA YA KUAPISHWA KWA WAJUMBE WA BARAZA

    June 26, 2024
  • KUNA MAISHA BAADA YA UTUMISHI WA UMMA

    June 20, 2024
  • MWALIMU TIMIZA WAJIBU WAKO WA MSINGI KWA AJILI YA NCHI YAKO, WAZAZI WA TANZANIA NA WATOTO KUZIFIKIA NDOTO ZAO

    June 20, 2024
  • Angalia Zote

Video

BARAZA LA MADIWANI LA MADIWANI LA WILAYAYA ITILIMA LAUFUNGA MWAKA WA FEDHA WA 2020 - 2021
Video Zaidi

Kurasa za Karibu

  • Business License
  • Procedure for Provision of Buliding Permit
  • https://www.nbs.go.tz/index.php/en/census-surveys/population-and-housing-census/802-sensa-ya-watu-na-makazi-ya-mwaka-2022
  • Land Ownership

Tovuti Mashuhuri

  • Simiyu Regional Commissioner's Office
  • President's Official Website
  • Local Government Revenue Collections Dashboard
  • Tovuti ya TAMISEMI
  • Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma
  • Salary Slip Self Service
  • FFARS LINK
  • Mfumo wa Vibali vya Kusafiri Nje ya Nchi

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Wasiliana Nasi

    DED - ITILIMA

    Sanduku la Posta: 308 BARIADI

    Simu: +255 28 29 863 29

    Simu: 028 29 863 28

    Barua Pepe: info@itilimadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

Hatimiliki ©2016 Kitengo cha TEHAMA. Haki Zote Zimehifadhiwa