• MMM |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
Itilima District Council
Itilima District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Itilima

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Sisi ni nani?
    • Dira na Dhamira
    • Taarifa ya Halmashauri
  • Utawala
    • Idara
      • Rasilimali watu
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mipango
      • Afya
      • Mifugo
      • Kilimo
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Ardhi na Maliasili
      • Maji
      • Fedha na Biashara
      • Usafi na Mazingira
      • Ujenzi
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
      • Ugavi
      • Sheria
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
    • Muundo
  • Huduma Zetu
    • Vibali vya Ujenzi
    • Leseni za Biashara
    • Umilikaji wa Ardhi
  • Machapisho
    • Sheria
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu
    • Sheria Ndogo
  • Kituo cha Habari
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba Video
    • Habari
    • Matukio
  • Miradi
    • Miradi inayofadhiliwa na Wahisani
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea na Ujenzi
    • Maandiko ya Miradi
  • Zabuni
  • Uwekezaji
  • FFARS LINK

KAMATI YA SIASA MKOA WA SIMIYU YARIDHISHWA NA UTEKELEZAJI WA MRADI WA UJENZI WA VYUMBA VYA MADARASA WILAYANI ITILIMA

Posted on: December 15th, 2021

Na. harunataratibu82@gmail.com


Kamati ya Siasa Mkoa wa Simiyu ikiongozwa na Kaimu Mwenyekiti ambaye ni Mneki wa Mkoa, Mhe. Gungu Silanga yaupongeza Uongozi wa Wilaya ya Itilima kwa kusimamia kwa ufanisi utekelezaji wa Miradi ya ujenzi wa vyumba vya madarasa Wilayani humo.

Kamati hiyo ilifanya ziara katika Kata za Ikindilo, Mwamtani, Sagata, Ndoleleji na Mhunze na kuukagua Miradi ya Vyumba vya Madarasa 17, Madarasa manne katika Shule ya Sekondari Ikindilo, Madarasa mawili katika Shule ya Sekondari Mwamtani, Madarasa matano katika Shule ya Sekondari Laini, Madara mawili katika Shule ya Sekondari Ndoleleji na Madarasa manne katika Shule ya Sekondari Madilana.

"Itilima katika suala la utekelezaji wa Miradi mmekuwa mkiitendea haki Ilani ya chama chetu kikamilifu, kitu ambacho ni muhimu hapa ni kuhakikisha Madarasa haya yanakamilika kwa 100% ifikapo tarehe iliyopangwa na watoto wetu wa kidato Cha kwanza waingie Shule zitakapo funguliwa" alisema Mhe. Silanga

Aidha kwa upande wa  katibu wa CCM Mkoa wa Simiyu Ndg. Innocent Nanzaba alisisitiza ukamilishaji wa ujenzi wa vyumba hivi vya Madarasa uendane na ubora na matumizi sahihi ya Fedha.

Ujenzi wa  vyumba vya Madarasa kwa Wilaya Itilima  umefikia hatua ya ukamilishaji Kazi ndogo ndogo ili kukabidhi Madarasa hayo kwa mujibu wa tarehe ya mwisho iliyopangwa.

Itilima Ilipokea  fedha kiasi cha Tsh. BILIONI 1.64 kutoka Serikalini kwa lengo la kujenga Madarasa 78 ya shule za Sekondari na manne ya shule shikizi


Matangazo

  • MATOKEO YA MTIHANI WA DARASA LA SABA WILAYANI ITILIMA October 30, 2021
  • Tangazo Kwa Watumishi Wapya Wanao endelea kuwasili Wilayani Itilima July 03, 2022
  • "Tutaukaribisha Mwenge wa Uhuru Wilayani Itilima tarehe 9/7/2022 tutaupokea katika Viwanja vya Ushirika, Nyamalapa na mkesha utakuwa katika viwanja vya Halmashuri ya Wilaya ya Itilima Wananchi wote, Wafanyakazi tuungane katika makaribis July 07, 2022
  • "Tutaukaribisha Mwenge wa Uhuru Wilayani Itilima tarehe 9/7/2022 tutaupokea katika Viwanja vya Ushirika, Nyamalapa na mkesha utakuwa katika viwanja vya Halmashuri ya Wilaya ya Itilima Wananchi wote, tuungane katika kuukaribisha Mwenge July 06, 2022
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • TUME YA TAIFA YA MPANGO WA MATUMIZI YA ARDHI YAPIMA NA KUKABIZI HATI ZA VIJIJI 25 VILIVYOPO KANDO YA POLI LA AKIBA LA MASWA

    June 30, 2024
  • BARAZA LA ARDHI ITILIMA SASA RASMI BAADA YA KUAPISHWA KWA WAJUMBE WA BARAZA

    June 26, 2024
  • KUNA MAISHA BAADA YA UTUMISHI WA UMMA

    June 20, 2024
  • MWALIMU TIMIZA WAJIBU WAKO WA MSINGI KWA AJILI YA NCHI YAKO, WAZAZI WA TANZANIA NA WATOTO KUZIFIKIA NDOTO ZAO

    June 20, 2024
  • Angalia Zote

Video

BARAZA LA MADIWANI LA MADIWANI LA WILAYAYA ITILIMA LAUFUNGA MWAKA WA FEDHA WA 2020 - 2021
Video Zaidi

Kurasa za Karibu

  • Business License
  • Procedure for Provision of Buliding Permit
  • https://www.nbs.go.tz/index.php/en/census-surveys/population-and-housing-census/802-sensa-ya-watu-na-makazi-ya-mwaka-2022
  • Land Ownership

Tovuti Mashuhuri

  • Simiyu Regional Commissioner's Office
  • President's Official Website
  • Local Government Revenue Collections Dashboard
  • Tovuti ya TAMISEMI
  • Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma
  • Salary Slip Self Service
  • FFARS LINK
  • Mfumo wa Vibali vya Kusafiri Nje ya Nchi

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Wasiliana Nasi

    DED - ITILIMA

    Sanduku la Posta: 308 BARIADI

    Simu: +255 28 29 863 29

    Simu: 028 29 863 28

    Barua Pepe: info@itilimadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

Hatimiliki ©2016 Kitengo cha TEHAMA. Haki Zote Zimehifadhiwa