• MMM |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
Itilima District Council
Itilima District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Itilima

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Sisi ni nani?
    • Dira na Dhamira
    • Taarifa ya Halmashauri
  • Utawala
    • Idara
      • Rasilimali watu
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mipango
      • Afya
      • Mifugo
      • Kilimo
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Ardhi na Maliasili
      • Maji
      • Fedha na Biashara
      • Usafi na Mazingira
      • Ujenzi
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
      • Ugavi
      • Sheria
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
    • Muundo
  • Huduma Zetu
    • Vibali vya Ujenzi
    • Leseni za Biashara
    • Umilikaji wa Ardhi
  • Machapisho
    • Sheria
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu
    • Sheria Ndogo
  • Kituo cha Habari
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba Video
    • Habari
    • Matukio
  • Miradi
    • Miradi inayofadhiliwa na Wahisani
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea na Ujenzi
    • Maandiko ya Miradi
  • Zabuni
  • Uwekezaji
  • FFARS LINK

ITILIMA YAWEKEWA MALENGO KUZALISHA TANI 130,000 ZA PAMBA MSIMU HUU WA KILIMO

Posted on: November 28th, 2022

Na. Haruna Taratibu

Mkuu wa Mkoa wa Simiyu Mhe. Yahaya Nawanda amemuhakikishia Balozi wa Pamba Nchini Mhe. Aggrey Mwanri kuwa Itilima inaenda kuzalisha Tani 130,000 za pamba katika msimu huu wa kilimo.

Mhe. Nawanda aliongea hayo katika mafunzo maalumu yaliyo wahusisha Wakuu wa Idara na Vitengo,Maafisa Ugani, Maafisa Watendaji wa Kata na Vijiji, Wenyeviti na Makatibu wa Amcos wote wilayani Itilima.

Aidha Mhe. Nawanda alisema ya Kwamba Tanzania Imeweka malenga ya uzalishaji wa Tani 1,000,000 za Pamba katika hayo Malengo asilimia 50(%) inatakiwa kuzalishwa Mkoani Simiyu na Itilima ikitakiwa kuzalisha Tani 130,000 ilikufikia lengo la Mkoa la kuzalisha Tani 500,000.

Mhe. Nawanda aliwakumbusha Maafisa ugani ya kwamba

"Tulikubaliana maafisa Ugani wote wa Mkoa wa Simiyu lazima wawe na Ekali Moja za pamba, Mimi kama Afisa Ugani Mkuu nimelima Ekali 5 za pamba  na hii italeta muamko Kwa wananchi wetu kujifunza Kwa vitendo njia Bora za kilimo katika mashamba yetu"

Mhe. Nawanda alisema tulisha kubaliana na Mkuu wenu wa Wilaya, Mkurugenzi na Afisa Ugani wa Wilaya kuzalisha Tani 130,000 katika Msimu Huu wa Kilimo na lazima zipatikane hizo Tani.

Kuhusiana na upungufu wa Tani 45 za Mbegu za pamba uliyo wasilishwa na  Afisa Ugani wa Wilaya Ndugu Mateso Kiswanu, Mhe. Nawanda alimpigia Mtendaji Mkuu wa Bodi ya Pamba Tanzania na Kuahidi kiasi hicho Cha Mbegu kitawasili Itilima ndani ya Siku Mbili.

Mhe. Nawanda alimaliza Kwa kusema ya Kwamba

"Tukizalisha sana, tutapata sana, tukipata sana, tuchangia maendeleo sana, tutabadilisha hali zetu za maisha, tutajenga nyumba Bora,tutanunua vyombo vya usafiri, tutasomesha watoto wetu, tutakuwa na Chakula cha kutosha, familia zetu zitaboreka na haya ndio malengo ya serikali ya awamu ya Sita.

Balozi wa Pamba Nchini Mhe. Aggrey Manri alisema ya Kwamba Mhe. Mkuu wa Mkoa madaraka ulonayo yanaweza kutumika viziri na kuleta tija katika zao pamba

Aidha Mhe. Mwanri alisema kuwa Serikali kupitia Bodi ya pamba ni Mwekezaji  Kweli na tukifanya Bidii hatatupa vitu vinne ambavyo ni Malighafi, Uchumi, Ajira kwa vijana wetu na Mapato ya Serikali

Semina hii inayo ratibiwa na Bodi ya Pamba Tanzania huu ni Msimu wa Pili kifanyika  na imewaza kuleta hamasa kubwa katika zao la pamba na Kwa siku ya Leo ilifanyika Makao makuu ya Wilaya ya Itilima na Katika Kijiji Cha Chinamili na Itaendelea Kesho katika Kata ya Mwamtani


Matangazo

  • MATOKEO YA MTIHANI WA DARASA LA SABA WILAYANI ITILIMA October 30, 2021
  • Tangazo Kwa Watumishi Wapya Wanao endelea kuwasili Wilayani Itilima July 03, 2022
  • "Tutaukaribisha Mwenge wa Uhuru Wilayani Itilima tarehe 9/7/2022 tutaupokea katika Viwanja vya Ushirika, Nyamalapa na mkesha utakuwa katika viwanja vya Halmashuri ya Wilaya ya Itilima Wananchi wote, Wafanyakazi tuungane katika makaribis July 07, 2022
  • "Tutaukaribisha Mwenge wa Uhuru Wilayani Itilima tarehe 9/7/2022 tutaupokea katika Viwanja vya Ushirika, Nyamalapa na mkesha utakuwa katika viwanja vya Halmashuri ya Wilaya ya Itilima Wananchi wote, tuungane katika kuukaribisha Mwenge July 06, 2022
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • TUME YA TAIFA YA MPANGO WA MATUMIZI YA ARDHI YAPIMA NA KUKABIZI HATI ZA VIJIJI 25 VILIVYOPO KANDO YA POLI LA AKIBA LA MASWA

    June 30, 2024
  • BARAZA LA ARDHI ITILIMA SASA RASMI BAADA YA KUAPISHWA KWA WAJUMBE WA BARAZA

    June 26, 2024
  • KUNA MAISHA BAADA YA UTUMISHI WA UMMA

    June 20, 2024
  • MWALIMU TIMIZA WAJIBU WAKO WA MSINGI KWA AJILI YA NCHI YAKO, WAZAZI WA TANZANIA NA WATOTO KUZIFIKIA NDOTO ZAO

    June 20, 2024
  • Angalia Zote

Video

BARAZA LA MADIWANI LA MADIWANI LA WILAYAYA ITILIMA LAUFUNGA MWAKA WA FEDHA WA 2020 - 2021
Video Zaidi

Kurasa za Karibu

  • Business License
  • Procedure for Provision of Buliding Permit
  • https://www.nbs.go.tz/index.php/en/census-surveys/population-and-housing-census/802-sensa-ya-watu-na-makazi-ya-mwaka-2022
  • Land Ownership

Tovuti Mashuhuri

  • Simiyu Regional Commissioner's Office
  • President's Official Website
  • Local Government Revenue Collections Dashboard
  • Tovuti ya TAMISEMI
  • Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma
  • Salary Slip Self Service
  • FFARS LINK
  • Mfumo wa Vibali vya Kusafiri Nje ya Nchi

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Wasiliana Nasi

    DED - ITILIMA

    Sanduku la Posta: 308 BARIADI

    Simu: +255 28 29 863 29

    Simu: 028 29 863 28

    Barua Pepe: info@itilimadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

Hatimiliki ©2016 Kitengo cha TEHAMA. Haki Zote Zimehifadhiwa