• MMM |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
Itilima District Council
Itilima District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Itilima

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Sisi ni nani?
    • Dira na Dhamira
    • Taarifa ya Halmashauri
  • Utawala
    • Idara
      • Rasilimali watu
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mipango
      • Afya
      • Mifugo
      • Kilimo
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Ardhi na Maliasili
      • Maji
      • Fedha na Biashara
      • Usafi na Mazingira
      • Ujenzi
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
      • Ugavi
      • Sheria
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
    • Muundo
  • Huduma Zetu
    • Vibali vya Ujenzi
    • Leseni za Biashara
    • Umilikaji wa Ardhi
  • Machapisho
    • Sheria
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu
    • Sheria Ndogo
  • Kituo cha Habari
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba Video
    • Habari
    • Matukio
  • Miradi
    • Miradi inayofadhiliwa na Wahisani
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea na Ujenzi
    • Maandiko ya Miradi
  • Zabuni
  • Uwekezaji
  • FFARS LINK

ITILIMA IMEPOKEA ZAIDI YA TSHS. MILIONI 900 KWA AJILI YA MIRADI YA AFYA, VIFAA TIBA, ELIMU MSINGI, SEKONDARI

Posted on: November 10th, 2022

Na. Haruna Taratibu

Halmashauri ya Wilaya ya Itilima katika kipindi cha mwezi Oktoba - Novemba imepokea fedha kiasi cha Tshs. Milioni  928.25  kwa ajili ya ununuzi wa  Vifaa Tiba, ujenzi wa miradi ya Afya, Elimu Msingi na Elimu Sekondari Kwa lengo la kuboresha na kisogeza huduma hizo karibu na wananchi.

Akiwasilisha taarifa ya mapokezi ya fedha hizo katika kikao cha Baraza la Madiwani robo ya kwanza kwa mwaka wa fedha 2022/2023 Mkurugenzi Mtendaji Halmashauri ya Itilima Bi. Elizabeth M. Gumbo alisema

"Mhe. Mwenyekiti napenda kutoa taarifa katika Baraza lako kuwa Katika kipindi cha mwezi Oktoba na Novemba 2022 Halmashauri yako Imepokea Kiasi cha Tshs. Milioni 928.25 kwa ajili ya ununuzi wa vifaa tiba Katiba katika Hospitali ya Wilaya, Vituo vya Afya na Zahanati, na ujenzi miradi ya Afya, Elimu Msingi na Sekondari"

Aidha Bi. Gumbo aliainisha Mchanganuo wa hizo fedha kiasi cha Tshs. Milioni 300/- zimetengwa katika Kwa ajili ya ununuzi wa Vifaa Tiba, Milioni Kwa ajili ya Hospitali ya Wilaya, milioni 150/- Vituo vya Afya na Milioni 50 katika zahanati,  na kiasi cha Tshs. Milioni 50  kimetengwa kumalizia maboma ya wagonjwa wa Nje katika zahanati ya Ng'walali, Isagala na Kidula na Jumla ya fedha zilizo tengwa ni Tshs. Milioni 350/

Kwa upande wa Elimu Sekondari Halmashauri imepokea kiasi cha Tshs. Milioni 200/-  fedha hiyo  itaenda kujenga vyumba vya Maabara maabara Sita, kimoja Kwa Kila shule ya Sekondari iliyo kusudia ambapo ni Shule ya sekondari Mahembe, Ndoleleji, Bunamhala,Madilana,Sagata, na Lung'wa ambapo  Maabara hizo zote zitagharimu Tshs. Milioni 180/- na TShs. Milioni 20 itakamilisha ujenzi wa Bweni katika shule ya sekondari Lagangabilili

Vilevile kiasi cha Tshs. Milioni 378. 25 zimepokelewa Kwa ajili ya ujenzi wa Miradi ya Elimu Msingi ikiwemo ukamilishaji wa vyumba vya Madarasa 12 katika shule za Msingi sita ikiwemo shule ya Msingi Manasubi vyumba 2, Mwamalinze vyuma 2, Ntagwasa Vyumba 2, Lali vyumba 2, Mwakimisha vyumba 2 na Pijulu vyumba 2, vyumba vyote vitagharimu Tshs. Milioni 150/-

Katika hizo fedha kiasi cha Tshs. Milioni 22 kujenga matundu 20 ya vyoo, Matundu 10 katika Kituo shikizi cha Mwabulugu na Matundu 10 mengine katika kituo shikizi cha Mwazimbi.

Milioni 200/- itatumika kukamilisha Maboma 8 ya nyumba za Walimu, Maboma  2, katika shule ya Msingi Ngh'omango na Boma moja katika shule za Msingi ya, Ntagwasa, Nyantugutu, Mwamalize, Ipilili, Mahembe na Kidula ambapo Kila Boma limetengewa Tshs. Milioni 25/-

Sisi kama Wanaitilima tunaishukuru Serikali ya awamu ya Sita chini ya uongozi wa Rais, Mhe. Samia Suluhu Hassan Kwa kudhihirisha dhamira ya dhati ya kuwaletea maendeleo wanaitilima kabla ya mapokezi ya Tshs. Milioni 928.25 katika mwezi huu wa Novemba, Julai - Septemba 2022 Itilima ilipokea kiasi cha Tshs. Milioni 540 kwa ajili ya ujenzi wa vyumba vya Madarasa 17 na tena ikapokea zaidi ya  Milioni 300 Kwa ajili ya utekelezaji wa Miradi ya Tasaf.

Matangazo

  • MATOKEO YA MTIHANI WA DARASA LA SABA WILAYANI ITILIMA October 30, 2021
  • Tangazo Kwa Watumishi Wapya Wanao endelea kuwasili Wilayani Itilima July 03, 2022
  • "Tutaukaribisha Mwenge wa Uhuru Wilayani Itilima tarehe 9/7/2022 tutaupokea katika Viwanja vya Ushirika, Nyamalapa na mkesha utakuwa katika viwanja vya Halmashuri ya Wilaya ya Itilima Wananchi wote, Wafanyakazi tuungane katika makaribis July 07, 2022
  • "Tutaukaribisha Mwenge wa Uhuru Wilayani Itilima tarehe 9/7/2022 tutaupokea katika Viwanja vya Ushirika, Nyamalapa na mkesha utakuwa katika viwanja vya Halmashuri ya Wilaya ya Itilima Wananchi wote, tuungane katika kuukaribisha Mwenge July 06, 2022
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • TUME YA TAIFA YA MPANGO WA MATUMIZI YA ARDHI YAPIMA NA KUKABIZI HATI ZA VIJIJI 25 VILIVYOPO KANDO YA POLI LA AKIBA LA MASWA

    June 30, 2024
  • BARAZA LA ARDHI ITILIMA SASA RASMI BAADA YA KUAPISHWA KWA WAJUMBE WA BARAZA

    June 26, 2024
  • KUNA MAISHA BAADA YA UTUMISHI WA UMMA

    June 20, 2024
  • MWALIMU TIMIZA WAJIBU WAKO WA MSINGI KWA AJILI YA NCHI YAKO, WAZAZI WA TANZANIA NA WATOTO KUZIFIKIA NDOTO ZAO

    June 20, 2024
  • Angalia Zote

Video

BARAZA LA MADIWANI LA MADIWANI LA WILAYAYA ITILIMA LAUFUNGA MWAKA WA FEDHA WA 2020 - 2021
Video Zaidi

Kurasa za Karibu

  • Business License
  • Procedure for Provision of Buliding Permit
  • https://www.nbs.go.tz/index.php/en/census-surveys/population-and-housing-census/802-sensa-ya-watu-na-makazi-ya-mwaka-2022
  • Land Ownership

Tovuti Mashuhuri

  • Simiyu Regional Commissioner's Office
  • President's Official Website
  • Local Government Revenue Collections Dashboard
  • Tovuti ya TAMISEMI
  • Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma
  • Salary Slip Self Service
  • FFARS LINK
  • Mfumo wa Vibali vya Kusafiri Nje ya Nchi

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Wasiliana Nasi

    DED - ITILIMA

    Sanduku la Posta: 308 BARIADI

    Simu: +255 28 29 863 29

    Simu: 028 29 863 28

    Barua Pepe: info@itilimadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

Hatimiliki ©2016 Kitengo cha TEHAMA. Haki Zote Zimehifadhiwa