• MMM |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
Itilima District Council
Itilima District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Itilima

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Sisi ni nani?
    • Dira na Dhamira
    • Taarifa ya Halmashauri
  • Utawala
    • Idara
      • Rasilimali watu
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mipango
      • Afya
      • Mifugo
      • Kilimo
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Ardhi na Maliasili
      • Maji
      • Fedha na Biashara
      • Usafi na Mazingira
      • Ujenzi
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
      • Ugavi
      • Sheria
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
    • Muundo
  • Huduma Zetu
    • Vibali vya Ujenzi
    • Leseni za Biashara
    • Umilikaji wa Ardhi
  • Machapisho
    • Sheria
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu
    • Sheria Ndogo
  • Kituo cha Habari
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba Video
    • Habari
    • Matukio
  • Miradi
    • Miradi inayofadhiliwa na Wahisani
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea na Ujenzi
    • Maandiko ya Miradi
  • Zabuni
  • Uwekezaji
  • FFARS LINK

HIVI NDIVYO TUTAKAVYO IJENGA ITILIMA

Posted on: September 1st, 2022

Na. Haruna Taratibu

Halmashauri  ya Itlima Kwa mwaka wa Fedha 2021 - 2022 ilikisia kukusanya kiasi cha Tsh. Bilioni 1,487,035,716/-hadi Juni 2022 ilikuwa imekusanya kiasi cha Tsh 1,576,326,237/- kiasi ambacho ni sawa na asilimia 106 (%).

Kwa mujibu wa miongozo na kanuni zinazo ongoza serikali za mitaa zinahitaji makusanyo ya mapato ya ndani ukiondoa mapato lindwa, asilimia 40 (%) ya mapato huelekezwa katika utekelezaji wa miradi ya maendeleo na asilimia 10 (%)  hutolewa kama mikopo Kwa vikundi vya wanawake (4%) na Vikundi vya vijana (4%) na jamii ya watu wenye ulemavu (2%)

Hivyo basi Halmashauri ya Itilima Kwa mwaka 2021 - 2021  kiasi cha Tshs. Milioni 219,514,350/- kilipelekwa kutekeleza miradi nane ya maendeleo na kiasi cha Tsh. Milioni 123,500,000/- kilitolewa kama mikopo Kwa vikundi vya wanawake, vijana na walemavu.

Katika miradi iliyotekeleza ni pamoja na kulipia fidia  eneo la Stendi kiasi cha Tsh. Milioni 13,900,000/ kilitumika sambamba na Tsh. Milioni 24,600,000/ kilitumika kujenga miundombinu ya stendi.

Vilevile Halmashauri itumia kiasi cha Tsh. Milioni tano kukamilisha mradi wa bweni katika shule ya sekondari Itilima na Milioni 20,000,000/ zilitumika kukamilisha ujenzi wa Bwalo katika shule ya sekondari Lagangabilili.

Halmashauri ilitumia kiasi cha Tsh. Milioni 50/- katika ukamilishaji wa Madarasa matano katika shule ya Msingi longalambogo madarasa wawili, shule ya msingi Chinamili Madarasa mawili na darasa moja katika while ya Msingi Ikindilo.

Katika kutatua changamoto za upatikanani wa huduma za afya katika Kijiji cha Kidula halmashauri ilipeleka kiasi Cha Tsh. Milioni 30/ za mapato ya ndani.

Katika mchakato wa kuyainua makundi maalumu Halmashauri ya Itilima chini ya uongozi wa Mkurugenzi Mtendaji  Bi. Betty M Gumbo , Wah. Madiwani , Mkuu wa wilaya Mhe.  Faiza Salim na wataalamu ilisimamia mchakato  wa ukopeshaji  vikundi 20 vya wanawake kiasi cha Tshs. Milioni 53,979,246/, vikundi 20 vya Vijana vilikopeshwa kiasi cha Tsh . Milioni 37,520,754/- na vikundi 8 vya jamii ya watu wenye ulemavu kiasi cha Tsh. Milioni 32/- na kiwa jumla ya Tsh. Milioni 123,500,500/- Kwa vikundi vyote.

Hivyo basi kwa mwaka wa fedha mpya wa 2022-2023 Halmashauri imepangiwa kukusanya kiasi cha Tsh Bilioni 1,635,700,000/- ni ongezeko la asilimia  10(%) kutoka kwenye bajeti ya 2021 - 2022.

Nini maana ya makusanyo haya kikanuni na kimiongozo kiasi cha asilimia 40 (%) kitarudi Kwa wananchi kutekeleza miradi ya maendeleo na kusogeza huduma muhimu karibu na Wananchi kama Elimu, Afya, maji, umeme na miundombinu ya barabara  na asilimia 10 (%) itatumika katika kuibua wajasiliamali wapya kwa kuwawezesha wananwake , Vijana na walemavu.

Kwa mantiki hiyo wanaitilima tunakwenda kuijenga itilima yeti wenyewe kupitia makusanyo yetu ya mapato ya ndani ni vyema zaidi tukawa kitu kimoja katika kuijenga  itilima Kwa  kutimiza wajibu wa kisheria na Kikanuni.

Matangazo

  • MATOKEO YA MTIHANI WA DARASA LA SABA WILAYANI ITILIMA October 30, 2021
  • Tangazo Kwa Watumishi Wapya Wanao endelea kuwasili Wilayani Itilima July 03, 2022
  • "Tutaukaribisha Mwenge wa Uhuru Wilayani Itilima tarehe 9/7/2022 tutaupokea katika Viwanja vya Ushirika, Nyamalapa na mkesha utakuwa katika viwanja vya Halmashuri ya Wilaya ya Itilima Wananchi wote, Wafanyakazi tuungane katika makaribis July 07, 2022
  • "Tutaukaribisha Mwenge wa Uhuru Wilayani Itilima tarehe 9/7/2022 tutaupokea katika Viwanja vya Ushirika, Nyamalapa na mkesha utakuwa katika viwanja vya Halmashuri ya Wilaya ya Itilima Wananchi wote, tuungane katika kuukaribisha Mwenge July 06, 2022
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • TUME YA TAIFA YA MPANGO WA MATUMIZI YA ARDHI YAPIMA NA KUKABIZI HATI ZA VIJIJI 25 VILIVYOPO KANDO YA POLI LA AKIBA LA MASWA

    June 30, 2024
  • BARAZA LA ARDHI ITILIMA SASA RASMI BAADA YA KUAPISHWA KWA WAJUMBE WA BARAZA

    June 26, 2024
  • KUNA MAISHA BAADA YA UTUMISHI WA UMMA

    June 20, 2024
  • MWALIMU TIMIZA WAJIBU WAKO WA MSINGI KWA AJILI YA NCHI YAKO, WAZAZI WA TANZANIA NA WATOTO KUZIFIKIA NDOTO ZAO

    June 20, 2024
  • Angalia Zote

Video

BARAZA LA MADIWANI LA MADIWANI LA WILAYAYA ITILIMA LAUFUNGA MWAKA WA FEDHA WA 2020 - 2021
Video Zaidi

Kurasa za Karibu

  • Business License
  • Procedure for Provision of Buliding Permit
  • https://www.nbs.go.tz/index.php/en/census-surveys/population-and-housing-census/802-sensa-ya-watu-na-makazi-ya-mwaka-2022
  • Land Ownership

Tovuti Mashuhuri

  • Simiyu Regional Commissioner's Office
  • President's Official Website
  • Local Government Revenue Collections Dashboard
  • Tovuti ya TAMISEMI
  • Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma
  • Salary Slip Self Service
  • FFARS LINK
  • Mfumo wa Vibali vya Kusafiri Nje ya Nchi

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Wasiliana Nasi

    DED - ITILIMA

    Sanduku la Posta: 308 BARIADI

    Simu: +255 28 29 863 29

    Simu: 028 29 863 28

    Barua Pepe: info@itilimadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

Hatimiliki ©2016 Kitengo cha TEHAMA. Haki Zote Zimehifadhiwa