• MMM |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
Itilima District Council
Itilima District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Itilima

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Sisi ni nani?
    • Dira na Dhamira
    • Taarifa ya Halmashauri
  • Utawala
    • Idara
      • Rasilimali watu
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mipango
      • Afya
      • Mifugo
      • Kilimo
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Ardhi na Maliasili
      • Maji
      • Fedha na Biashara
      • Usafi na Mazingira
      • Ujenzi
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
      • Ugavi
      • Sheria
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
    • Muundo
  • Huduma Zetu
    • Vibali vya Ujenzi
    • Leseni za Biashara
    • Umilikaji wa Ardhi
  • Machapisho
    • Sheria
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu
    • Sheria Ndogo
  • Kituo cha Habari
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba Video
    • Habari
    • Matukio
  • Miradi
    • Miradi inayofadhiliwa na Wahisani
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea na Ujenzi
    • Maandiko ya Miradi
  • Zabuni
  • Uwekezaji
  • FFARS LINK

HAKIKISHENI MNAWAPELEKA WATOTO WENU KUPATA CHANJO YA SURUA NA LUBELLA: MKUU WA WILAYA YA ITILIMA

Posted on: October 17th, 2019


HAKIKISHENI MNAWAPELEKA WATOTO WENU KUPATA CHANJO YA SURUA NA LUBELLA: MKUU WA WILAYA YA ITILIMA

Mkuu wa wilaya ya Itilima Mhe. Benson Kilangi Leo amezindua Kampeni ya Siku tano ya chanjo ya Surua na Lubella katika viwanja vya Zahanati ya Lagangabilili wilayani Itilima.

Akizindua Kampeni hiyo kwa niyaba ya Mkuu wa Wilaya ya Itilima, Katibu tawala (W) Itilima Mhe. Filbert Kanyilizu alisema

"Itilima inakusudia kuwapatia chanjo ya Surua na Lubella watoto wapao 88,555 wenye umri wa miezi 9 mpaka miezi 59 na chanjo ya Polio kwa watoto wenye umri wa Mwaka Mmoja na nusu mpaka miaka mitatu na nusu"

Vilevile Katibu tawala huyo aliwaasa Wananchi hao kuto puuza zoezi hilo la chanjo kwani husaidia watoto kuepukana na Udumavu wa afya ya akili na mwili.

Akiongea na wananchi waliyoudhuria katika uzinduzi wa kampeni hiyo ya chanjo ya Surua na Lubella Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri (W) Itilima Bi. Elizabeth Gumbo alisema.

"Wakina Mama wenzangu hakikisheni mnawapeleka watoto wenu katika vituo vya kutolea huduma ya afya kupata chanjo hii na mpeleke elimu hii kwa majirani zenu ili nao watoto wao wapate huduma hii kwani bila kufanya hivyo hatutaweza kuzuia mlipuko wa maambukizi katika maeneo yetu"

Aidha Bi. Gumbo aliwaasa wananchi kuachana na fikra potofu ya kwamba chanjo hiyo itawaletea athari watoto wao hususani katika afya ya uzazi au kusababisha kifo kwa watoto wao.

Kampeni hii ya chanjo Surua na Lubella imezinduliwa rasmi leo na Wizara ya Afya na Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto na zoezi hili litafanyika Mikoa yote ya Tanzania bara na kuhitimishwa rasmi tarehe Oktoba 21, 2019.

Matangazo

  • MATOKEO YA MTIHANI WA DARASA LA SABA WILAYANI ITILIMA October 30, 2021
  • Tangazo Kwa Watumishi Wapya Wanao endelea kuwasili Wilayani Itilima July 03, 2022
  • "Tutaukaribisha Mwenge wa Uhuru Wilayani Itilima tarehe 9/7/2022 tutaupokea katika Viwanja vya Ushirika, Nyamalapa na mkesha utakuwa katika viwanja vya Halmashuri ya Wilaya ya Itilima Wananchi wote, Wafanyakazi tuungane katika makaribis July 07, 2022
  • "Tutaukaribisha Mwenge wa Uhuru Wilayani Itilima tarehe 9/7/2022 tutaupokea katika Viwanja vya Ushirika, Nyamalapa na mkesha utakuwa katika viwanja vya Halmashuri ya Wilaya ya Itilima Wananchi wote, tuungane katika kuukaribisha Mwenge July 06, 2022
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • TUME YA TAIFA YA MPANGO WA MATUMIZI YA ARDHI YAPIMA NA KUKABIZI HATI ZA VIJIJI 25 VILIVYOPO KANDO YA POLI LA AKIBA LA MASWA

    June 30, 2024
  • BARAZA LA ARDHI ITILIMA SASA RASMI BAADA YA KUAPISHWA KWA WAJUMBE WA BARAZA

    June 26, 2024
  • KUNA MAISHA BAADA YA UTUMISHI WA UMMA

    June 20, 2024
  • MWALIMU TIMIZA WAJIBU WAKO WA MSINGI KWA AJILI YA NCHI YAKO, WAZAZI WA TANZANIA NA WATOTO KUZIFIKIA NDOTO ZAO

    June 20, 2024
  • Angalia Zote

Video

BARAZA LA MADIWANI LA MADIWANI LA WILAYAYA ITILIMA LAUFUNGA MWAKA WA FEDHA WA 2020 - 2021
Video Zaidi

Kurasa za Karibu

  • Business License
  • Procedure for Provision of Buliding Permit
  • https://www.nbs.go.tz/index.php/en/census-surveys/population-and-housing-census/802-sensa-ya-watu-na-makazi-ya-mwaka-2022
  • Land Ownership

Tovuti Mashuhuri

  • Simiyu Regional Commissioner's Office
  • President's Official Website
  • Local Government Revenue Collections Dashboard
  • Tovuti ya TAMISEMI
  • Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma
  • Salary Slip Self Service
  • FFARS LINK
  • Mfumo wa Vibali vya Kusafiri Nje ya Nchi

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Wasiliana Nasi

    DED - ITILIMA

    Sanduku la Posta: 308 BARIADI

    Simu: +255 28 29 863 29

    Simu: 028 29 863 28

    Barua Pepe: info@itilimadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

Hatimiliki ©2016 Kitengo cha TEHAMA. Haki Zote Zimehifadhiwa