• MMM |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
Itilima District Council
Itilima District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Itilima

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Sisi ni nani?
    • Dira na Dhamira
    • Taarifa ya Halmashauri
  • Utawala
    • Idara
      • Rasilimali watu
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mipango
      • Afya
      • Mifugo
      • Kilimo
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Ardhi na Maliasili
      • Maji
      • Fedha na Biashara
      • Usafi na Mazingira
      • Ujenzi
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
      • Ugavi
      • Sheria
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
    • Muundo
  • Huduma Zetu
    • Vibali vya Ujenzi
    • Leseni za Biashara
    • Umilikaji wa Ardhi
  • Machapisho
    • Sheria
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu
    • Sheria Ndogo
  • Kituo cha Habari
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba Video
    • Habari
    • Matukio
  • Miradi
    • Miradi inayofadhiliwa na Wahisani
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea na Ujenzi
    • Maandiko ya Miradi
  • Zabuni
  • Uwekezaji
  • FFARS LINK

DED ITILIMA AINGIA MKATABA NA WATENDAJI KATA UTEKELEZAJI AFUA ZA LISHE

Posted on: November 1st, 2022

Na. Haruna Taratibu

Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Itilima Bi. Elizabeth Gumbo  siku ya Jumatatu ya tarehe 31 Oktoba 2022 ameingia Mkataba na Maafisa Watendaji wa Kata zote 22 za Wilaya ya Itilima Kwa ajili ya utekelezaji na ufuatiliaji wa Afua za Lishe wilayani humo.

Bi. Gumbo alisema ya kwamba tunaingia hii mikataba ya kiutekelezaji Ili kuleta ufanisi katika lishe na ikitokea Mtendaji  yoyote kuzembea na kutotimiza wajibu wake Mkataba huu utatumika kama kielelezo katika kuwajibika.

Akimuwakilisha Mkuu wa Wilaya ya Itilima katibu Tawala Ndg. Filbert Kanyirizu alitoa wito Kwa Watendaji wa Kata kuifanya Lishe kuwa Ajenda ya kudumu katika vikao vyao vya Kata (WADC) na aliwaomba Viongozi wa dini kutoa elimu Kwa waumini wao kuhusiana na lishe.

Kwa upande wa Mganga Mkuu wa Wilaya Dkt. Anold   Musiba alibainisha umuhimu wa ufuatiliaji wa Afua za Lishe katika wilaya  ya Itilima na Moja ya vigezo Tisa vinavyo takiwa kutekelezwa ni pamoja na kuwa na Vikao vya kujadili hali ya lishe kwa kila robo.

Afisa Lishe wa Wilaya ya Itilima Ndg. Oswin Mlelwa alibainisha hali ya lishe Kwa wilaya ya Itilima ikiwemo upatikanaji wa Vitamini A Kwa mwezi Januari - Machi ulikua 66%, mwezi Aprili - June ulikuwa 136% na June - Septemba ulikuwa 47%.

 Aidha Afisa Lishe alibainisha ya Kuwa Halmashauri ya Itilima imetenga  vituo 11 vitakavyo hudumia watoto wenye utapiamlo mkali na Kila kituo kimewekewa utaratibu wa kuhudumia watoto 10.

Vituo hivyo ni Chinamili kimehudumia watoto 4 waliyopokelewa, Sagata watoto 6, Migato watoto 5, Lagangabilili watoto 5, Luguru watoto 6, Nangale watoto 4, Mahembe watoto 8, Zagayu watoto 3, Nkoma watoto 16, na Mwamapalala watoto 5.

Aidha, Afisa Lishe aliwasisitiza Watendaji wa Kata waende kuwasisitiza Wahudumu wa Afya kuwatembelea Wajawazito majumbani Ili kugundua kama Wana dalili za hatari na wakijifungua wasisitizwe kunyonyesha watoto  Maziwa ya Mwanzo ni muhimu Kwa Kinga ya asili  ya Mtoto.

Ilisisitizwa muda wa Mtoto kunyonya ni Miezi sita bila kuchanganyiwa na chakula kingine na miezi sita hiyo ni sehemu ya siku 1000 muhimu Kwa makuzi ya kimwili na kiakili ya Mtoto.


Katika Majadiliano, Mtendaji wa Kata ya Mwamapalala Ndg. Samwel ambaye Kata yake ni miongoni mwa zilizo fanya vizuri, alishauri kuwa, wahudumu wa Afya wanafanya kazi kubwa sana kuwatembelea wananchi, basi wawe wanaangaliwa Kwa jicho lingine la uwezesho Ili kiwapa moyo na tufikie malengo.


Matangazo

  • MATOKEO YA MTIHANI WA DARASA LA SABA WILAYANI ITILIMA October 30, 2021
  • Tangazo Kwa Watumishi Wapya Wanao endelea kuwasili Wilayani Itilima July 03, 2022
  • "Tutaukaribisha Mwenge wa Uhuru Wilayani Itilima tarehe 9/7/2022 tutaupokea katika Viwanja vya Ushirika, Nyamalapa na mkesha utakuwa katika viwanja vya Halmashuri ya Wilaya ya Itilima Wananchi wote, Wafanyakazi tuungane katika makaribis July 07, 2022
  • "Tutaukaribisha Mwenge wa Uhuru Wilayani Itilima tarehe 9/7/2022 tutaupokea katika Viwanja vya Ushirika, Nyamalapa na mkesha utakuwa katika viwanja vya Halmashuri ya Wilaya ya Itilima Wananchi wote, tuungane katika kuukaribisha Mwenge July 06, 2022
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • TUME YA TAIFA YA MPANGO WA MATUMIZI YA ARDHI YAPIMA NA KUKABIZI HATI ZA VIJIJI 25 VILIVYOPO KANDO YA POLI LA AKIBA LA MASWA

    June 30, 2024
  • BARAZA LA ARDHI ITILIMA SASA RASMI BAADA YA KUAPISHWA KWA WAJUMBE WA BARAZA

    June 26, 2024
  • KUNA MAISHA BAADA YA UTUMISHI WA UMMA

    June 20, 2024
  • MWALIMU TIMIZA WAJIBU WAKO WA MSINGI KWA AJILI YA NCHI YAKO, WAZAZI WA TANZANIA NA WATOTO KUZIFIKIA NDOTO ZAO

    June 20, 2024
  • Angalia Zote

Video

BARAZA LA MADIWANI LA MADIWANI LA WILAYAYA ITILIMA LAUFUNGA MWAKA WA FEDHA WA 2020 - 2021
Video Zaidi

Kurasa za Karibu

  • Business License
  • Procedure for Provision of Buliding Permit
  • https://www.nbs.go.tz/index.php/en/census-surveys/population-and-housing-census/802-sensa-ya-watu-na-makazi-ya-mwaka-2022
  • Land Ownership

Tovuti Mashuhuri

  • Simiyu Regional Commissioner's Office
  • President's Official Website
  • Local Government Revenue Collections Dashboard
  • Tovuti ya TAMISEMI
  • Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma
  • Salary Slip Self Service
  • FFARS LINK
  • Mfumo wa Vibali vya Kusafiri Nje ya Nchi

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Wasiliana Nasi

    DED - ITILIMA

    Sanduku la Posta: 308 BARIADI

    Simu: +255 28 29 863 29

    Simu: 028 29 863 28

    Barua Pepe: info@itilimadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

Hatimiliki ©2016 Kitengo cha TEHAMA. Haki Zote Zimehifadhiwa