• MMM |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
Itilima District Council
Itilima District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Itilima

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Sisi ni nani?
    • Dira na Dhamira
    • Taarifa ya Halmashauri
  • Utawala
    • Idara
      • Rasilimali watu
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mipango
      • Afya
      • Mifugo
      • Kilimo
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Ardhi na Maliasili
      • Maji
      • Fedha na Biashara
      • Usafi na Mazingira
      • Ujenzi
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
      • Ugavi
      • Sheria
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
    • Muundo
  • Huduma Zetu
    • Vibali vya Ujenzi
    • Leseni za Biashara
    • Umilikaji wa Ardhi
  • Machapisho
    • Sheria
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu
    • Sheria Ndogo
  • Kituo cha Habari
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba Video
    • Habari
    • Matukio
  • Miradi
    • Miradi inayofadhiliwa na Wahisani
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea na Ujenzi
    • Maandiko ya Miradi
  • Zabuni
  • Uwekezaji
  • FFARS LINK

DC - ITILIMA AWAASA WATAALAMU KUTIMIZA WAJIBU UTEKELEZAJI MIRADI YA MAENDELEO

Posted on: October 20th, 2022

Na. Haruna Taratibu

Mkuu wa Wilaya ya Itilima Mhe. Faidha S. Salim amewaasa wataalamu kutimiza wajibu wao katika utekelezaji wa Miradi ya maendeleo, hususani miradi inayoletewa fedha Kulingana na matokeo utekelezaji.

Akiwa katika ziara ya ukaguzi wa Miradi ya Tasaf      Mhe. Faidha alisema

"Waratibu wa Tasaf wanapaswa kujitathmini kutokana na miradi inavyo sua sua, mafundi kutosimamiwa inavyo takiwa na vifaa vya ujenzi kutokuwepo katika eneo la mradi"

Mkuu wa Wilaya ya Itilima Mhe. Faidha Salim aliyevaa Kofia akikagua Madarasa katika Mradi wa shule ya sekondari Nhobora ambapo shule hiyo ilitengewa kiasi cha Tshs. Milioni 470/ za utekelezaji

Mhe. Faidha alitembelea Mradi wa Bweni  la wanafunzi wa Kike  katika Kijiji Cha shishani ambapo Mradi huo upo katika hatua ya Upauaji.

Katika Mradi wa Shule ya Sekondari Nguno ambapo umeanza na ujenzi wa vyumba viwili vya Madarasa ofisi na Vyoo Mhe. Mkuu wa wilaya alishauri kurekebishwa Kwa baadhi ya Kasoro zilizo onekana katika umaliziaji hususani katika Mikanda inayoshikilia (gypsum board)  na kuwaelekeza wataalamu kuwaonesha wananchi sehemu sahihi ya kuweka vifaa vya ujenzi kama mawe na Mchanga ili kusijitokeze hamisha hamisha ya malighafi hizo za ujenzi baada ya kuletwa

Mkuu wa wilaya ya Itilima Mhe. Faidha Salimu akikagua miundombinu katika jengo la Dharula la Hospitali ya Wilaya ya Itilima.


Mhe. Mkuu wa wilaya na kamati yake ya ulinzi na usalama walifanya ziara katika miradi ya Tasaf, kituo Cha Afya Kanadi, Hospitali ya Wilaya na Shule ya Sekondari ya Nhobora  miradi yote hiyo ina thamani ya zaidi ya Tshs. Bilioni 2.17.

Matangazo

  • MATOKEO YA MTIHANI WA DARASA LA SABA WILAYANI ITILIMA October 30, 2021
  • Tangazo Kwa Watumishi Wapya Wanao endelea kuwasili Wilayani Itilima July 03, 2022
  • "Tutaukaribisha Mwenge wa Uhuru Wilayani Itilima tarehe 9/7/2022 tutaupokea katika Viwanja vya Ushirika, Nyamalapa na mkesha utakuwa katika viwanja vya Halmashuri ya Wilaya ya Itilima Wananchi wote, Wafanyakazi tuungane katika makaribis July 07, 2022
  • "Tutaukaribisha Mwenge wa Uhuru Wilayani Itilima tarehe 9/7/2022 tutaupokea katika Viwanja vya Ushirika, Nyamalapa na mkesha utakuwa katika viwanja vya Halmashuri ya Wilaya ya Itilima Wananchi wote, tuungane katika kuukaribisha Mwenge July 06, 2022
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • TUME YA TAIFA YA MPANGO WA MATUMIZI YA ARDHI YAPIMA NA KUKABIZI HATI ZA VIJIJI 25 VILIVYOPO KANDO YA POLI LA AKIBA LA MASWA

    June 30, 2024
  • BARAZA LA ARDHI ITILIMA SASA RASMI BAADA YA KUAPISHWA KWA WAJUMBE WA BARAZA

    June 26, 2024
  • KUNA MAISHA BAADA YA UTUMISHI WA UMMA

    June 20, 2024
  • MWALIMU TIMIZA WAJIBU WAKO WA MSINGI KWA AJILI YA NCHI YAKO, WAZAZI WA TANZANIA NA WATOTO KUZIFIKIA NDOTO ZAO

    June 20, 2024
  • Angalia Zote

Video

BARAZA LA MADIWANI LA MADIWANI LA WILAYAYA ITILIMA LAUFUNGA MWAKA WA FEDHA WA 2020 - 2021
Video Zaidi

Kurasa za Karibu

  • Business License
  • Procedure for Provision of Buliding Permit
  • https://www.nbs.go.tz/index.php/en/census-surveys/population-and-housing-census/802-sensa-ya-watu-na-makazi-ya-mwaka-2022
  • Land Ownership

Tovuti Mashuhuri

  • Simiyu Regional Commissioner's Office
  • President's Official Website
  • Local Government Revenue Collections Dashboard
  • Tovuti ya TAMISEMI
  • Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma
  • Salary Slip Self Service
  • FFARS LINK
  • Mfumo wa Vibali vya Kusafiri Nje ya Nchi

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Wasiliana Nasi

    DED - ITILIMA

    Sanduku la Posta: 308 BARIADI

    Simu: +255 28 29 863 29

    Simu: 028 29 863 28

    Barua Pepe: info@itilimadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

Hatimiliki ©2016 Kitengo cha TEHAMA. Haki Zote Zimehifadhiwa