• MMM |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
Itilima District Council
Itilima District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Itilima

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Sisi ni nani?
    • Dira na Dhamira
    • Taarifa ya Halmashauri
  • Utawala
    • Idara
      • Rasilimali watu
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mipango
      • Afya
      • Mifugo
      • Kilimo
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Ardhi na Maliasili
      • Maji
      • Fedha na Biashara
      • Usafi na Mazingira
      • Ujenzi
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
      • Ugavi
      • Sheria
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
    • Muundo
  • Huduma Zetu
    • Vibali vya Ujenzi
    • Leseni za Biashara
    • Umilikaji wa Ardhi
  • Machapisho
    • Sheria
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu
    • Sheria Ndogo
  • Kituo cha Habari
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba Video
    • Habari
    • Matukio
  • Miradi
    • Miradi inayofadhiliwa na Wahisani
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea na Ujenzi
    • Maandiko ya Miradi
  • Zabuni
  • Uwekezaji
  • FFARS LINK

Baada ya utekelezaji wa miradi ya maendeleo kwa mwaka wa fedha uliyopita kwa mafanio, sasa tunaelekea katika ujenzi wa hospitali Wilaya ya Itilima

Posted on: November 30th, 2018

TAARIFA YA MIRADI ILIYOTEKELEZWA WILAYANI ITILIMA KWA NJIA YA PICHA KWA MWAKA WA FEDHA

(2016/2017  2017/2018)



Mradi wa Usambazaji Maji Katika Kijiji cha Lagangabilili



Mradi Wa Usambazaji Maji Katika Kijiji cha Lagangabilili Wenye Thamani ya

Tsh. 907,617,866, Fedha Zote Zimetoka Serikali Kuu. Picha Ya Kwanza Inaonesha Tanki la Maji, Kituo cha Kuchotea Maji na Kiongozi wa Mbio za Mwenge wa Uhuru Kitaifa Ndugu. Charles Francis Kabeho Akizindua Mradi.

Mradi wa Uboreshaji wa Huduma za Afya katika Kituo cha Afya Ikindilo


Uboreshaji wa Huduma za Afya Katika Kituo cha Afya Ikindilo kwa Tsh. 525,000,000 unaendelea kutekelezwa kwa ukamilishaji wa Jengo la Maabara, Jengo la kuhifadhia Maiti, Mtandao na Maji. Aidha, Jengo la Upasuaji, Wodi ya Wazazi na Nyumba ya Mtumishi Imekamilika.









Wodi ya Uzazi Katika Zahanati ya Migato Imejengwa kwa Tsh. 30,000,000 ni Moja Kati ya Wodi 5 Zilizojengwa kwa Jumla ya Tsh. 150,000,000 chini ya ufadhili wa UNFPA



Ujenzi wa Miundombinu ya Elimu


Ujenzi wa Madarasa 4 na Ununuzi wa Madawati Katika Shule ya Msingi Lagangabilili

kwa Thamani ya Tsh. 80,000,000 Kupitia Mpango wa Lipa Kulingana na Matokeo (P4R) umekamilika.



Ujenzi Wa Vyumba 3 vya Maabara za Masomo ya Sayansi Katika Shule ya Sekondari Budalabujiga kwa Thamani ya Tsh. 125,767,000.



Wanafunzi wa Masomo ya Sayansi Katika Shule ya Sekondari Budalabujiga Wakiendelea na Mafunzo kwa Vitendo (Practical).



Ujenzi wa Mabweni 2 Katika Shule ya Sekondari Itilima kwa Thamani ya Tsh. 293,200,000 Yenye Uwezo wa Kubeba Wanafunzi 240 fedha zote zimetoka Serikali Kuu.



Ujenzi wa Bweni Jipya la Wanafunzi wa Kike Katika Shule ya Sekondari Nkoma Chini ya Ufadhili wa Ubalozi wa China kwa Thamani ya Tsh.178,448,000 Lenye Uwezo wa Kubeba Wanafunzi 160.

Ujenzi wa Jengo la Ofisi ya Mkurugenzi Mtendaji


Ujenzi wa Jengo la Ofisi ya Mkurugenzi Mtendaji, Halmashauri ya Itilima Ukiwa Umekamilika kwa Awamu ya Kwanza kwa Thamani ya Tsh. 670,590,194 Ukiwa Umejumuisha Mifumo ya Maji Safi, Maji Taka na Umeme.
















Matangazo

  • MATOKEO YA MTIHANI WA DARASA LA SABA WILAYANI ITILIMA October 30, 2021
  • Tangazo Kwa Watumishi Wapya Wanao endelea kuwasili Wilayani Itilima July 03, 2022
  • "Tutaukaribisha Mwenge wa Uhuru Wilayani Itilima tarehe 9/7/2022 tutaupokea katika Viwanja vya Ushirika, Nyamalapa na mkesha utakuwa katika viwanja vya Halmashuri ya Wilaya ya Itilima Wananchi wote, Wafanyakazi tuungane katika makaribis July 07, 2022
  • "Tutaukaribisha Mwenge wa Uhuru Wilayani Itilima tarehe 9/7/2022 tutaupokea katika Viwanja vya Ushirika, Nyamalapa na mkesha utakuwa katika viwanja vya Halmashuri ya Wilaya ya Itilima Wananchi wote, tuungane katika kuukaribisha Mwenge July 06, 2022
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • TUME YA TAIFA YA MPANGO WA MATUMIZI YA ARDHI YAPIMA NA KUKABIZI HATI ZA VIJIJI 25 VILIVYOPO KANDO YA POLI LA AKIBA LA MASWA

    June 30, 2024
  • BARAZA LA ARDHI ITILIMA SASA RASMI BAADA YA KUAPISHWA KWA WAJUMBE WA BARAZA

    June 26, 2024
  • KUNA MAISHA BAADA YA UTUMISHI WA UMMA

    June 20, 2024
  • MWALIMU TIMIZA WAJIBU WAKO WA MSINGI KWA AJILI YA NCHI YAKO, WAZAZI WA TANZANIA NA WATOTO KUZIFIKIA NDOTO ZAO

    June 20, 2024
  • Angalia Zote

Video

BARAZA LA MADIWANI LA MADIWANI LA WILAYAYA ITILIMA LAUFUNGA MWAKA WA FEDHA WA 2020 - 2021
Video Zaidi

Kurasa za Karibu

  • Business License
  • Procedure for Provision of Buliding Permit
  • https://www.nbs.go.tz/index.php/en/census-surveys/population-and-housing-census/802-sensa-ya-watu-na-makazi-ya-mwaka-2022
  • Land Ownership

Tovuti Mashuhuri

  • Simiyu Regional Commissioner's Office
  • President's Official Website
  • Local Government Revenue Collections Dashboard
  • Tovuti ya TAMISEMI
  • Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma
  • Salary Slip Self Service
  • FFARS LINK
  • Mfumo wa Vibali vya Kusafiri Nje ya Nchi

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Wasiliana Nasi

    DED - ITILIMA

    Sanduku la Posta: 308 BARIADI

    Simu: +255 28 29 863 29

    Simu: 028 29 863 28

    Barua Pepe: info@itilimadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

Hatimiliki ©2016 Kitengo cha TEHAMA. Haki Zote Zimehifadhiwa